Nampenda mume wangu lakini yeye hanipendi

Nampenda mume wangu lakini yeye hanipendi

Huyo mzee ana miaka mingapi? Ujue hata hawa kina mulugo wanakuona na wewe mwenye 27 mzee.
 
huna haja ya kutoroka zungumza na mumeo washirikishe familia za pande zote.....
 
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu
xaxa kama huyo shaibu/mzee ananyanyua chuma au aliwahi kuwa mcheza :boxing: ??mana napata utata kwa mzee kuwa na uwezo wa kukugeuza punching bag , labda kama ndo wale vidingi wasela sawa. ila pole xana kwani kuna siku atakutoa kwa KO raundi ya 1 tu.
 
Aisee hapo fanya mpango ung'ang'anie hapohapo vinginevyo ameshaharibu maisha yako kwan don't expect mtu akuoe na hao watoto wanne,ipo lakini chance yake ni ndogo sana-kwa sababu hata biograph yako am sure kama now 28 na watoto 4 hujaenda shule!!Sema fanya mpango upate hata proffesional. Au hata kamtaji ili uweze kujisimamia mwenyewe kimaisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hapa hujadandia thread ya watu? Labda mimi nakosea, nikumbushe tafadhali!

 
  • Thanks
Reactions: amu
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu


Duh!jamaa kakuchakaza sana miaka 27 na umeshashusha Engine mara 4? Usikute mnataka kutafuta team ya mpira wa miguu.
 
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu

ImageUploadedByJamiiForums1375516481.830073.jpg
Nimemkumbuka Drogba na diving zake wakati nasoma 'kilio' hiki...

🙁
 
daaah 4 kids alf wot wap xcul alf una miak 27 ni suprize of coz..kfup ni kwmb tayr umeshakosea tang mwanz na knatokea ni matund ya makosa yako.,cha kukshaur ni ihusshe serkal ili ht km uktak kuondk watot waskulemee..pole xaana..!!
 
ngoja kwanza ilikuwaje ukaolewa na mzee?a hao watoto 4 wote wakwake?mtoto wa kwanza ana umri gani?am trying to figure out hao watoto umewazaaje na wamepishanaje?
unafanya kazi?na kwa nini akudunde hivo?

Duhhh! Kaz kwel kwel Amu eee hebu akikupa jibu unitumie na mie mana ndo nlichokuwa nawaza!
 
Tupe full lyf story yako ili tujue nini cha kusema na kipi cha kuacha
 
Aisee hapo fanya mpango ung'ang'anie hapohapo vinginevyo ameshaharibu maisha yako kwan don't expect mtu akuoe na hao watoto wanne,ipo lakini chance yake ni ndogo sana-kwa sababu hata biograph yako am sure kama now 28 na watoto 4 hujaenda shule!!Sema fanya mpango upate hata proffesional. Au hata kamtaji ili uweze kujisimamia mwenyewe kimaisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums[/QUOTEangekuwamsomi ndio ingekuwa poa sio!
 
Ok pole sana kwa matatizo hzo ndiyo changamoto za maisha lakini kipigo kuna dawati la wanawake katka kila kituo cha polisi jitaidi sana kama akiwa ndiyo tabia yake mlipoti hatua za kisheria zitachukuliwa
 
Naona watu tunamwaga ushauri na maswali kibao ya sintofahamu lakini mhusika mkuu katimua zake kwa kibabu.
Uko wapi UPENDO_20 uje ujibu maswali ya wadau?!
 
We dada jitokeze ujibu maswali ya wadau ili usaidiwe ushauri,au ndio unapigwa muda huu?
 
Aisee hapo fanya mpango ung'ang'anie hapohapo vinginevyo ameshaharibu maisha yako kwan don't expect mtu akuoe na hao watoto wanne,ipo lakini chance yake ni ndogo sana-kwa sababu hata biograph yako am sure kama now 28 na watoto 4 hujaenda shule!!Sema fanya mpango upate hata proffesional. Au hata kamtaji ili uweze kujisimamia mwenyewe kimaisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ang'ang'anie hadi auliwe kisa haweai pata ndoa?
 
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu

pole sana, best solution jikabidhi kwa Mungu,atakutetea bila kujali yaliyopita. story yako kama ya jirani yangu. Ila yeye 32 yr now, akiwa 1st yr chuo 2002 aliolewa na mume wa mtu,baba mtumzima kwa mkewe alikuwa na mtoto 1 tu wakiume, umri kama wa huyo dada. Mdada akadhani mzee shida yake watoto toka 2002-2010 alikuwa amezaa watoto 4. Kajengewa nyumba,2010 kapelekwa UK akasome masters, mwaka jana karudi mzee hataki hata kumsikia yupo busy na mkewe mkubwa na mtoto mkubwa. Mdada kachanganyikiwa,watoto wanasoma arusha wote 4,mwaka huu mzee kagoma hata kulipa ada ya watoto. Pole, wanajiita ndo wanaume eti. Kugeuza ngoma watoto wa wenzao.
 
Back
Top Bottom