Nampenda mume wangu lakini yeye hanipendi

Nampenda mume wangu lakini yeye hanipendi

Naona watu tunamwaga ushauri na maswali kibao ya sintofahamu lakini mhusika mkuu katimua zake kwa kibabu.
Uko wapi UPENDO_20 uje ujibu maswali ya wadau?!
ubaya wa mapenzi hayashauriki,unaweza ukawa busy kumpa ushauri kumbe washsameheana kesho akija mangumi yamemkole anarudi tena kutaka ushauri
 
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu

Dada miaka 27 watoto wanne?. pole dada.
 
Anakuzeesha huyo!
Miaka 26 hapa,
i'm blessed with so much to offer..nguvu zaidi ya smba..
Njoo kwangu.

Hivi wew uko unakoishi hamna wanawake??...mwenzako anatafuta upendo we unaleta tamaa zako boya we...hivi jf ni dating site eeeh??
 
Pole shosti ndio maisha,ivi hao watoto ni pacha umezaa au mmoja mmoja? na hiyo tabia ameenza hivi karibuni au baada ya kuzaa hao watoto wote? fikiria tena kabla hujafanya maamuzi hayo kwani dunia hii vigumu sana mtu kulea mtoto wa mwenzie ni wachache sana wanaoweza,kaanae chini mumeo mlimaze tatizo mda wote mlokua pamoja sidhani kama mumeo atakushinda kumuweka sawa,au hao watoto 4 wote sio wake huyo mumeo?
 
Pole sana.....tulia tu ulee watoto...SAIDA KAROLI ALISEMA, ''....Mapenzi kuzunguzungu....''
 
miaka 27 watoto 4! Mi nakulaum ww ulikosea sana ilibid kipind mnaanza ungemzoesha kumpa tigo, acngekuzalisha ovyo huyo
 
Cha msingi muwahi kabla hajakuwahi..Mpe sumu..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wana jamii mimi mdada mwenye umri wa 27 na mume wangu mzee nampenda sana lakini yeye hanipendi kila siku ananigeuza punching bag la kufanyia mazoezi na tuna watoto wa 4 nafikiria kumtoroka sema naona watoto watapata shida wanaendelea na masomo hapa naomba ushauri wenu
Hapo ndipo utakaona moto nmejaribu kukuchunguza nkahisi vitu vikubwa viwili hapo, cha kwanza uliolewa huku mtoto mdogo sasa umekubali kuzalishwa hadi umechakaa kote, hali hiyo yaweza kuwa imekupotezea mvuto wako wa awali na pa kwa idadi hiyo unakuwa hata hujitunzi yawezekana hata manyonyo yako huyafichi kwani sio chin ya miaka 6 yananyonywa tu na hao watoto.
jambo la pili ni kuwa wewe huna elimu wala kazi kwani umri wako huo nashindwa kuhusisha na shule kabisa hapo stand 7 au fom two ndo ilikuwa mwisho, sasa huo ugolikipa yawezekana unamchosha akijumlisha na kuwalisha na kuwavisha hao watto wanne ndio anaamua kukuletea hasira wewe anaona we ndio chanzo.
kamwe usiwaze kutoroka kwan hapo unajikoleza makaa na kuichafua taswira yako, shirikisha wazazi wako na watuwake wa jiran, kwan usikae kimya kwa vipigo hvyo anaweza akakupa ulemvu ambao utakutesa zaid ya hivyo alivyokuzeesha na kukufujisha a young gel like you, ikishindikana fata taratibu zote ukianzia dawat la malalamiko basi mtengane vizuri tu kisheria, ingawa ndio mwanzo mwingne mbaya wa maisha ya wanao. pole sana mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom