Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Namshukuru muumba wa mbingu na ardhi ni miezi takribani mitano sasa imepita toka nipate huyu mwanamke wa maisha yangu nimeridhika nae ktk safari ya mapenzi hadi ndoa ni mwanamke mvumilivu na anayejitoa kwa hali na mali juu yangu ijapokuwa hana uwezo mkubwa kifedha.
Japokuwa tunakwaruzana hapa na pale lakini naamini tutafikia malengo nakiri ndio msichana aliyenifundisha mapenzi.Namuombea kwa Mola aniheshimu na kunipenda.Nawaomba wana jf wenzangu mnikumbuke ktk maombi tufike mbali tuoane.
Hilo ndio hitaji na shauku yangu.
I LOVE U MY WIFE TO BE...
Japokuwa tunakwaruzana hapa na pale lakini naamini tutafikia malengo nakiri ndio msichana aliyenifundisha mapenzi.Namuombea kwa Mola aniheshimu na kunipenda.Nawaomba wana jf wenzangu mnikumbuke ktk maombi tufike mbali tuoane.
Hilo ndio hitaji na shauku yangu.
I LOVE U MY WIFE TO BE...