Nampenda mke wakooooooooo!!!!!

Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Cha maana na uungwana ni kumuabia huyo mtu, kuwa utani lazima uwe na mipaka na akuheshimu kwa anayoyasema kuhusu mkeo. Inabidi umueleze ukweli ili aelewe na ukikaa kimya basi wewe ndio mwenye makosa zaidi.
 
Kukutuma salam sio lazma kuwa jamaa ana uhusiano na mkeo. Inategemea atitude ya jamaa kama kwel angekuwa na hiyo agenda angekutuma salam? Ama anajua kuwa una wiv ivo anataka kukuumiza roho...pole sana ukicomplicate haya mambo utapunguza cku za kuishi kwa stress..
 
Kwanza jua kabila la huyo jamaa na lako kama ni watani basi huyo atakuwa mtani wako mkuu!
 
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hivi watu wengine huwa mishipa ya hasira huwa imelegea au imekatika? Aghhhhhhhhhhhhh!!!!
 
Back
Top Bottom