FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
Cha maana na uungwana ni kumuabia huyo mtu, kuwa utani lazima uwe na mipaka na akuheshimu kwa anayoyasema kuhusu mkeo. Inabidi umueleze ukweli ili aelewe na ukikaa kimya basi wewe ndio mwenye makosa zaidi.