platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
tehteh zawadi ikukute wapi
Nihakikishie usalama wangu kwanza.
Napenda kuchukua zawadi around saa 7 hadi saa 9 usiku....!
tehteh zawadi ikukute wapi
Pointi muhimu sana. Hasira hasara!
Nihakikishie usalama wangu kwanza.
Napenda kuchukua zawadi around saa 7 hadi saa 9 usiku....!
umekua bias hadi nimeogopa kukupa zawadi,zawadi gani hiyo ya kuchukuliwa usiku mmmh...........................
aisee kumbe kuna chata hapa ndani sio za kuahidiana nazo zawadi,yamekua hayo tena.Usiku mtulivu hakuna kelele
Raha iliyoje kwa hamasa tele
Naisubiri kwa hamu usiku mwemwelee
Aisee....kweli mapenzi ni kazi haswa!
nimeahirisha mkuu.
Nitasononeka usiku mzima......Umeujeruhi moyo wangu vibaya.
Sijui nikueleze vipi ujue nilivyopata mstuko.......hapa natamani ardhi ipasuke niingie.
Maisha nayaona hayana maana tena kwangu. Sijui nifanye nini ili nipone..........Nikitazama Avatar yako tu huzuni kuu inaniandama.
Najua una moyo ulioumbwa kwa mintarafu ya kheri na si shari.
Natambua mbubujiko wa hekima na huruma ulionao. Tafadhali usifanye hivyo.
pole yako,no wayout.
Najua hujawahi hata kuua panya....vipi kumtendea binadamu mwenzako hivi
well said!!!ndo maana unashindwa kufanya maamuzi ya busara ukidhani we bado mtoto wakati umeshakomaa kabisa,kilichokuharakisha kuingia kwenye ndoa ndo uvumilie sio kukaa unatolea waume za watu macho,tena umkome mume wa mtu kama ndoa yako imekushinda usivunje na ya mwenzio, we umeolewa lakini kiguu na njia kutafuta umbea kwamba wakwe hawampendi mke wa hawala yako badala ya kutafakari maisha yako na watoto hapo baadae itakuaje kama sio kihelehele kinachokusumbua ni nini?
Nihakikishie usalama wangu kwanza.
Napenda kuchukua zawadi around saa 7 hadi saa 9 usiku....!
umekua bias hadi nimeogopa kukupa zawadi,zawadi gani hiyo ya kuchukuliwa usiku mmmh...........................
Usiku mtulivu hakuna kelele
Raha iliyoje kwa hamasa tele
Naisubiri kwa hamu usiku mwemwelee
aisee kumbe kuna chata hapa ndani sio za kuahidiana nazo zawadi,yamekua hayo tena.
Mbona muoga sana bibie Asnam.......Basi chagua wewe muda na Venue
nimeahirisha mkuu.
Nitasononeka usiku mzima......Umeujeruhi moyo wangu vibaya.
Sijui nikueleze vipi ujue nilivyopata mstuko.......hapa natamani ardhi ipasuke niingie.
Maisha nayaona hayana maana tena kwangu. Sijui nifanye nini ili nipone..........Nikitazama Avatar yako tu huzuni kuu inaniandama.
Najua una moyo ulioumbwa kwa mintarafu ya kheri na si shari.
Natambua mbubujiko wa hekima na huruma ulionao. Tafadhali usifanye hivyo.
pole yako,no wayout.
Najua hujawahi hata kuua panya....vipi kumtendea binadamu mwenzako hivi
hahahaha kama kuku namchanja mwenyewe sembuse huyo panya,nina roho ngumu kichizi.
25 kwani vp