Chakuiba daima kitamu,ebu muache aolewe mwenzio apate wake umekula mara nyingi mpe mwenzio achukue jumla..Habari wana jambo,,
Kuna dada nampenda na yeye ananipenda sana, toka tuanze mahusiano ni mwaka mmoja sasa, tunaendelea kumuibia jamaa ambaye ni mwanajeshi huko mikoani.
Mwanamke huyu ananichanganya kiasi kwamba nataka kumuacha mke wangu kwa ajili yake.
Wakati mwingine huwa nafurahi na kushukuru kuwa ofisi moja na mwanamke huyu tunayependana.
Sasa mwanajeshi wake anataka kumuoa na wiki hii kamkazania akachonge Pete na yeye hataki ananitaka mimi. Nifanyaje jamani na mie kumuacha nashindwa?
ThanksHuyo demu naye kigeu geu maana huku anagegedwa na mwingine alafu mwingine anataka kumuoa , kaa naye mbali huyooo atakupa ukimwi na wala usifikiri kwamba anakupenda , upendo haugawanyiki wewe angekuwa anakupenda asingepanga mipango ya ndoa na mtu mwingine, yaani watu wengine vijui kwanini wanashindwa kutumia akili kutambua mambo …
Umemuelewa lakini ,anadai ana mke wake na bado amependana na demu wa mjeda hauoni anambeep devilNyakati kama hizi si za kutishana na wala si kufichana pia,wanajeshi wanaeleweka sana.Huo ndo uhalisia na wala si vitisho.
Hahahaha umetisha ..!haha mchukue tu mkuu, risasi huwa haziumi kiviiile
Me nimemuelewa,nilichomaanisha ni kuwa pamoja na huo ujinga anaotaka kuufanya ajue pia hatakuwa salama na kuna asilimia kubwa akafanywa anachomfanya mke wa mjeda.Umemuelewa lakini ,anadai ana mke wake na bado amependana na demu wa mjeda hauoni anambeep devil