Nampenda Magufuli lakini hii yaniumiza roho

mtu asie na ufahamu ataona kawaida lakini inauma sana tena sana fikiria unatoka kwenye miangaiko unakuta familia iko nje utajisikiaje?
 
Hii inaitwa catch 22. Watu tunapenda mazingira yawe safi na usalama wa watu uzingatiwe. Lakini ukiangalia hii kwa kweli moyo unauma. Tukibanana na wale wakwepa kodi tu kidogo au makampuni ya madini na simu hawa watu hawatalala nje. Inatia huruma. Mungu awape nguvu watu hawa.
 
Cc wenyewe tumebomolewa na b mkubwa kindakindaki chamoto tunakiona lkn wamemta wenyewe Tinga tinga mbele Kwa mbelee
 
Kawaida, maamuzi magumu yakifanyika huwa ni maamuzi sahihi zaidi japo huwa yana gharama yake pia.
serikali ikifanya jambo lolote whether ni jema au baya always people will have something to say.
hata wangeachwa hapa wakafa kwa mafuriko bado serikali ingelaumiwa,
 
Hii inaitwa catch 22. Watu tunapenda mazingira yawe safi na usalama wa watu uzingatiwe. Lakini ukiangalia hii kwa kweli moyo unauma. Tukibanana na wale wakwepa kodi tu kidogo au makampuni ya madini na simu hawa watu hawatalala nje. Inatia huruma. Mungu awape nguvu watu hawa.

Ahsante kaka kwa imani yako. Mola akupe maisha marefu na kila ukitakacho!
 
Cc wenyewe tumebomolewa na b mkubwa kindakindaki chamoto tunakiona lkn wamemta wenyewe Tinga tinga mbele Kwa mbelee

Ndio tumemtaka wenyewe, nami pia nimempa kura yangu, lakini sikumpa kura yangu ili aje kuwabomolea WATU KINYAMA KAMA HIVI bila ya kufikiria ubinaadamu au wapi watalala. Sasa mtoto huyo amefariki na kabla watu wawili walifariki na mmoja kitandani hajiwezi. Hivyo haya ndio tuliyompia kura zetu?
 
Bomoabomoa haina kurudi nyuma, ubinadamu na huruma ipo lakini zoezi litaendelea

Hakuna anaesema kuwa bomoabomoa isiwepo hasa kwavile El-Nino ndio ipo njiani, lakini ni lazima tuwatafutie njia nyengine za malazi ya hawa wanaobomolewa. Kama nchi hatuwezi kuwatupa nje. Hivyo huyu mtoto aliefariki kwa baridi kama angelikuwa ni wako wewe ungeliweza kusema haya uyasemayo???
 
Back
Top Bottom