Nampenda lakini hanitaki sijui nifanyaje

Nampenda lakini hanitaki sijui nifanyaje

mashakaDaima

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
38
Reaction score
5
Kiukweli kuna dada anatesa sana roho yangu na ninahisi kupoteza matumaini ya kuishi.
Ni mara chache sana kwa mutu kutokukata kwa kitu anachokihitaji lakini kwangu mimi nahisi kukata tamaa kabisa kwani jitihada zangu zinaelekea kugonga mwamba kwani furaha ya moyo wangu inapotea kwa huyu dada kuisumbua nafsi yangu.
Je ni ipi suluhu hasa kwa mtu unayeonesha upendo wa dhati na anakukataa kabisa
 
Kaka pole sana.Kama umejitahd kwa muda mref bla mafanikio bas uyo dada hakupendi.nakushauri upotezee kama alikua anakutest ukmpotezea ataktafta yeye.ila ukiona kimya basi akupend na hakuhtaj.mapenzi hayalazimishwi kakangu,tulia utampata ataekupenda kwa dhat.
 
Mwanamke akikupenda huwa hasumbui sana kutokana na tabia zao za kikekike,huyo hakupendi hata akikubali atakutenda tu.
 
Kiukweli kuna dada anatesa sana roho yangu na ninahisi kupoteza matumaini ya kuishi.
Ni mara chache sana kwa mutu kutokukata kwa kitu anachokihitaji lakini kwangu mimi nahisi kukata tamaa kabisa kwani jitihada zangu zinaelekea kugonga mwamba kwani furaha ya moyo wangu inapotea kwa huyu dada kuisumbua nafsi yangu.
Je ni ipi suluhu hasa kwa mtu unayeonesha upendo wa dhati na anakukataa kabisa

Njia pekee ya kujipa furaha ikiwa unayempenda kwa dhati hakupendi ni kutafuta kasoro yoyoyte hata kama ni ndogo na kuanza kuijengea hoja ili kuiaminisha akili yako kuwa mtu huyo hakufai, taratibu na moyo wako utapunguza upendo kwake na utaanza kujisikia huru.

Pia majina nayo yana maana ktk maisha, mfano jina lako la MASHAKA DAIMA, usishangae pia likakupa maishaka daima.
 
Mwanamke akikupenda huwa hasumbui sana kutokana na tabia zao za kikekike,huyo hakupendi hata akikubali atakutenda tu.
 
Njia pekee ya kujipa furaha ikiwa unayempenda kwa dhati hakupendi ni kutafuta kasoro yoyoyte hata kama ni ndogo na kuanza kuijengea hoja ili kuiaminisha akili yako kuwa mtu huyo hakufai, taratibu na moyo wako utapunguza upendo kwake na utaanza kujisikia huru.

Pia majina nayo yana maana ktk maisha, mfano jina lako la MASHAKA DAIMA, usishangae pia likakupa maishaka daima.

Nimkusoma ndugu yangu ila tatizo sio jina sema tu kaamua kuwa hivyo so nitafuata sana ushauri wenu wapendwa
 
Nibora akatae hivyo hivyo kuliko akikubali kwa shingo upande harafu baadae akutende. hakika utaumia mara mbili ya sasa uumiavyo. tambua kila jambo lina 7bu zake kaka.
 
mapenz ni kuyaacha kama yalvo mana unayempenda hakupendi. Cha msing we fanya yk
 
watu bana, sjui wanataka malaika wawashukie

Best ni hivi, si wanaume wote wenye kuelewa fikra za wadada.
Mara nyingi wadada huwa hawapendi kughasiwa na aliyemstaarabu hujaribu kukwepa ili uisome namba mapema.
 
Best ni hivi, si wananume wote wenye kuelewa fikra za wadada.
Mara nyingi wadada huwa hawapendi kughasiwa na aliyemstaarabu hujaribu kukwepa ili uisome namba mapema.

Mie mtu akianza tu visa na nmpotezea mamoja kwa kweli....akijifanya anakupotezea na wewe fanya kama vile humuoni.....sinaga ile ya kujikomba kwa mtu (hata awe mpnz).
 
Dunia ina watu bilion 7, wanawake wapo bilion 4.5. Nashangaa kwanini mtu anamkomalia mwanamke mmoja now and then as if hakuna option nyingine? fungua macho ndugu dunia hii sio ya kubembelezana. Hata mapenzi yana ubepari pia.
 
Dunia ina watu bilion 7, wanawake wapo bilion 3. Nashangaa kwanini mtu anamkomalia mwanamke mmoja now and then as if hakuna option nyingine? fungua macho ndugu dunia hii sio ya kubembelezana. Hata mapenzi yana ubepari pia.

Sasa uoni hiyo ratio uliotoa halalisha jamaa kumkomalia uyo demu. Watu wengine bana... Samahani lakini kama ntakua nimekuona ...
 
Dunia ina watu bilion 7, wanawake wapo bilion 3. Nashangaa kwanini mtu anamkomalia mwanamke mmoja now and then as if hakuna option nyingine? fungua macho ndugu dunia hii sio ya kubembelezana. Hata mapenzi yana ubepari pia.

Sasa mbona hizo statistics ulizotoa zinahalalisha jama kuendeleza kubembelezana. Houni kuwa unamaana kuwa wanawake ni pungufu. Samahani lakini kama nimekuona ....
 
They say, "if u truly love someone set her free,if she truly loves u then she will come back to u"

Kwahiyo mkuu,show her and tell her that u love her, then let her go,kama kweli anakupenda, then she will come back to u na kama hakupendi she wont come back and u will have to move on.
 
Back
Top Bottom