Nampenda lakini hanijali

Nampenda lakini hanijali

Niko kwenye mahusiano ya Takriban miaka minne na mwanaume ambae nimezaa nae mtoto mmoja.Tulikutana ktk chat tukapendana..baada ya kuonana Nikabeba ujauzito wake which is irresponsible i know coz tunaishi sehemu Tofauti.
Hanisaidii kwa huduma yoyote coz hana kazi thats fine Ila hata nikiwa nae hanisaidii hata ktk malezi ya mtoto(tupo nje ya nchi),anasema anataka kunioa na ananipenda lkn tatizo hanijali wala hajali feelings zangu akinikera,haoneshi mapenzi na mimi na Sifeel kama ananipenda coz hata nikiumwa hanijulii hali nampigia Simu mimi ananikemea Eti namuamsha usingizini na kuumwa naumwa mimi!!yaani kuna vituko vingi sana amenitendea huyu mwanaume siwezi kuvieleza vyote!!
sasa nimeamua kuachana nae Ila bado nampenda sana na namuwaza saa zote!!mnadhani nimechukua uamuzi mzuri kuachana nae au nifuate moyo wangu niendelee kuwa nae na niendelee kuumia?
kwani wewe unamtaka uliezaa nae au unamtaka yule dereva wa basi?
 
One great mind once said u can't change the direction of wind, but u can adjust ur sail to reach ur destination. In this case the direction of the wind is the love and affection u seek, but with all the ups and downs u have endured, its best to adjust ur sail and move on. Have faith in God n urself n u will reach ur destination gorgeousmimi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom