Haaaaaaaaaahh! pole sana lakini mwenzangu ivi inakuwaje una jitoa muhanga kwa mwanamme kiasi hicho,yani condom zilizo jaa tele matangazo mpaka kwenye vituo vya basi bado tuu una mpaa hivi hivi? na miaka yote minne anakusugua roho bado tuu kwani hujiamini kua wewe na mwanamke na ungeweza kupata bora zaidi,
Sikia shosti kama umeweza kulea huyo mtoto peke yako mpaka sasa nadhani utakua ushazoea,achana na mshenzi watabia huyo na usonge mbele,na nilazima useme na moyo wako kua huyu sie mwanamme, mwanamme niyule anae jali majukumu yake asiwe hodari kukuchanua miguu tuu,na ivi unaweza kunambia kubwa unalompendea ni kitu gani? michezo yake,sura yake,mwanya akicheka au anavyo kubinjua anakufikisha na unakubali kua mtumwa wa penzi lake? au unasubiri mpaka akawambia sikutaki au umkute na mwanamke mwengine kitandani ndio utajua sasa kweli alafu unywe sumu?
shosti hujachelewa bado time unayo na niamini utampata mbora kuliko yeye achana na hicho kituko HARAKA SANAAA.
samahani kama itakua nimesema nikapitiliza....