lane
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 908
- 513
we jamaa labda utupe undani wa ishu yenyewe coz nashawishika kuamini kwamba 'mzigo' ushakula long time sasa kinachokuumiza ni guilty conscious na unataka some kind of reassurance humu
I might be wrong na nisamehe kwa hilo ila all in all kumshushia heshima mkeo kiasi hicho haikubaki mbele ya jamii leave alone kwa Muumba na kana unataka ushauri ni kwamba 'kimbia haraka achana na hayo nakitu, katubu umrudie Mungu wako na kama mkeo ana mapungufu yeyote, jaribu kukaa nae ongea nae as far as I believe ana nafasi ya kujirekebisha'. Kaka thamini mke na familia yako more than anything
ni hayo tu kwa leo
I might be wrong na nisamehe kwa hilo ila all in all kumshushia heshima mkeo kiasi hicho haikubaki mbele ya jamii leave alone kwa Muumba na kana unataka ushauri ni kwamba 'kimbia haraka achana na hayo nakitu, katubu umrudie Mungu wako na kama mkeo ana mapungufu yeyote, jaribu kukaa nae ongea nae as far as I believe ana nafasi ya kujirekebisha'. Kaka thamini mke na familia yako more than anything
ni hayo tu kwa leo