Nampenda kuliko mke wangu.

Nampenda kuliko mke wangu.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,849
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.
 
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

Gume gume, ukimwi utaisha?
 
Unaonekana ujui maana ya kuoa!

Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.
 
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

Mkule.......
 
tuko wangapi baba ....... ulifunga ndoa kwa kiapo au bila kiapo??...sema kwanza kanisani au msikitin au mtaan(ulijiozesha)??
 
mfanye awe mke mdogo....ila jiandae nawe kuwa mume mdogo
 
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

Unata kutugawia dhambi ipi...ya kukushauri uwe na nyumba ndogo au ya kukushauri uvunje ahadi za ndoa yako..Kilichounganisha duniani....................................Biblia sio mimi please
 
mwache mkeo na watoto kisha kamuoe huyo.
Nachukia sana mijitu mijinga, eti naombeni ushauri ....
Pumbavu
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.
 
mwache mkeo na watoto kisha kamuoe huyo.
Nachukia sana mijitu mijinga, eti naombeni ushauri ....
Pumbavu

Hakuna kitu kinauma kama kusalitiwa kwenye ndoa mliyoapa kuilinda, unaharibu ndoa yako kwa tamaa za kipumbavu, muache mtoto wa watu kumbe humpendi, ndoa ni mapenzi na commitment kama hayapo wala hakuna commitment hakuna ndoa hapo.
 
We have a long way to go! Ni bora kuishi lamadi kama msukule, kuliko kuwa na waume wa design za hivi!! Tuhurumiwe!
 
Ikimbie zinaa na mwogope MUNGU. Unajua maana ya kuoa?
 
anataka ushauri wakati hapo chuoni wanagegedana! halafu huyu bwana inaonekana hampendi mkewe! Molembe hebu ni-pm unipe namba ya mkeo!
 
My dear sister cacicohivi unakunywaga bia gani vile..i mean kinywaji gani kweli?..umenifanya nipaliwe aisee
Back to the topic...hivi mleta mada kwani ukitembea naye huyo hawara yako bila kutushirikisha haisimami?...ebo!...acheni kufanya jukwaa kama kichaka cha wahuni bwana................

We have a long way to go! Ni bora kuishi lamadi kama msukule, kuliko kuwa na waume wa design za hivi!! Tuhurumiwe!
 
Last edited by a moderator:
Tulia kwa mkeo. Kama mlikua mnapendana kwanini usingemtafuta kabla hujaoa ukamuoa? Hayo mapenzi unayompenda rudisha kwamkeo.
 
Back
Top Bottom