Na akikaa vibaya atatundikwa mimba nyingineDuniani watu wangekuwa sio waelewa kama wewe vita visingeisha hapo hupendwi wala hutakiwi ....unasubiri mimba tena ya kulazimisha, jiongeze
Halafu anatelekezwa anabakia """"all men are dog!
Habari zenu wana jf,kama hapo juu panavyosomeka,Nilianza naye mahusiano mwaka 2017,tumekuwa wote kwa mwaka na miezi kadhaa
Mwaka jana mwenzi wa 10 nilipata mimba na wakati huo hatukuwa kwny mahusiano mazuri,lakini tuliongea akasema kwamba tupo wote sababu ya mimba,nilipata stress sana sababu sipendi nije kuwa na watoto wa baba tofauti,stress ambazo kwa kiasi kikubwa zilipelekea nikapata miscarriage, kipindi chote cha mimba mpka miscarriage alikuwa ananisupport kwa asilimi kubwa na pia upendo baina yetu uliongezeka kiasi fulani japo siwezi jua kama upendo wake ulikuwa unamaanisha,baada ya mimba kuharibika nikarudi nyumbani Mkoani kwa family issues,
Wiki ya mbili za mwanzo toka nije mkoani mawasiliano yalikuwa mazuri tu,wiki ya tatu baadaye mawasiliano yakapungu nisipomtafuta hanitafuti na akinitafuta ananilaumu kwanini simtafuti,na mimi kama binadamu sikupenda nikamwambia tu kwamba ww unataka utafutwe tu na unajitia busy,tuligombana sana baada kama ya siku mbili akaniambia kwakuwa siku za wiki yuko busy then tutafutane weekend atatenga mda kwa ajili yangu sikutaka kubishana naye,weekend ikifika bado anakuwa busy nikamwambia kama huwezi kunipa mda hata weekend basi unitafute ukijisikia akasema nampangia,yeye ashasema atanitafuta weekend,sikutaka kubishana naye nikamwambia tu kwny mahusiano mawasiliano ni jambo la kwanza hasa ukizingatia mimi na wewe tuko basi ikiwa kama nimeanzisha ugomvi tukagombana sana,mpka akaniambia kwamba ananipa ruhusa niwe na mwanaume mwngne ili tu nione kama mahusiano yapo kama nnavyodhani nayeye nafasi yake nimuachie palepale anataka tu nipate experience,
Kiukweli nampenda sana lakini kwa hii kauli yake nipo njia panda nahisi hata upendo wangu kwake unapungua kila siku na sitaki kumpoteza ni mtu ambaye amenifundisha mambo mengi na anamchango mkubwa kwenye maisha yangu ukitoa familia marafiki,
Jamani nifanyeje ili huu usiano uendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ikitokea Huyo atakaye kuja kumpenda asitokee atafanyaje, binadamu tumekuwa selfish sana yan kila MTU anaona yeye ndo anatakiwa apendwe na kushobokewa ..ndo maana r/ships zinazidi kuwa completed sababu ya ubinafsiWatu wengine kwa kujiumiza mpaka utupiwe virago nje? Penda upendwapo usilazimishe mdada hapo kuna mwingine, embu tulia uguza kidonda chako anza na maisha yako akikaa kimya embu nawewe kaa kimya uone kama utapata pressure usilazimishe mapenzi utaumia mwenyewe embu jaribu ku move out fanya yako atakuja akupendaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ikitokea Huyo atakaye kuja kumpenda asitokee atafanyaje, binadamu tumekuwa selfish sana yan kila MTU anaona yeye ndo anatakiwa apendwe na kushobokewa ..ndo maana r/ships zinazidi kuwa complicated sababu ya ubinafsi
From profile picture to proper future
Hvi darasa linaanza liniPole sana, ila kwa ulichoandika hapo juu huyo mwanaume hakupendi tena, na ukilazimisha kuwa naye basi kaa ukijua utalia siku zote.
Najua inaweza ikawa ngumu kuelewa, ila ulivyoandika ni wazi kabisa hakupendi na anakuona kama mzigo kwake ambao hajui aupeleke wapi.
Jiandae kisaikolojia Ku move on.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Umenena Vema.Hujachoka bado mpendwa siku ukichoka hata hayo maneno yake hayatakushtua hata kidogo.
Yaan bna mi nimeshindwa kukupa ushauri ambao ni straight,, nimeandika sana na kufutafuta mara kibao, maana sasa watu wema huangukia mikono isiyo sahihi, mikono sahihi huangukia kwa watu vichaa, viburi, vichwa maji, dont care, etc..Habari zenu wana jf,kama hapo juu panavyosomeka,Nilianza naye mahusiano mwaka 2017,tumekuwa wote kwa mwaka na miezi kadhaa
Mwaka jana mwenzi wa 10 nilipata mimba na wakati huo hatukuwa kwny mahusiano mazuri,lakini tuliongea akasema kwamba tupo wote sababu ya mimba,nilipata stress sana sababu sipendi nije kuwa na watoto wa baba tofauti,stress ambazo kwa kiasi kikubwa zilipelekea nikapata miscarriage, kipindi chote cha mimba mpka miscarriage alikuwa ananisupport kwa asilimi kubwa na pia upendo baina yetu uliongezeka kiasi fulani japo siwezi jua kama upendo wake ulikuwa unamaanisha,baada ya mimba kuharibika nikarudi nyumbani Mkoani kwa family issues,
Wiki ya mbili za mwanzo toka nije mkoani mawasiliano yalikuwa mazuri tu,wiki ya tatu baadaye mawasiliano yakapungu nisipomtafuta hanitafuti na akinitafuta ananilaumu kwanini simtafuti,na mimi kama binadamu sikupenda nikamwambia tu kwamba ww unataka utafutwe tu na unajitia busy,tuligombana sana baada kama ya siku mbili akaniambia kwakuwa siku za wiki yuko busy then tutafutane weekend atatenga mda kwa ajili yangu sikutaka kubishana naye,weekend ikifika bado anakuwa busy nikamwambia kama huwezi kunipa mda hata weekend basi unitafute ukijisikia akasema nampangia,yeye ashasema atanitafuta weekend,sikutaka kubishana naye nikamwambia tu kwny mahusiano mawasiliano ni jambo la kwanza hasa ukizingatia mimi na wewe tuko basi ikiwa kama nimeanzisha ugomvi tukagombana sana,mpka akaniambia kwamba ananipa ruhusa niwe na mwanaume mwngne ili tu nione kama mahusiano yapo kama nnavyodhani nayeye nafasi yake nimuachie palepale anataka tu nipate experience,
Kiukweli nampenda sana lakini kwa hii kauli yake nipo njia panda nahisi hata upendo wangu kwake unapungua kila siku na sitaki kumpoteza ni mtu ambaye amenifundisha mambo mengi na anamchango mkubwa kwenye maisha yangu ukitoa familia marafiki,
Jamani nifanyeje ili huu usiano uendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusubiri wewe tuu mkuu
Mimi nipo tayari nasubiria maelekezo yako tu...Nakusubiri wewe tuu mkuu
Uje sasa pm😂😂
Sasa mbona unanicheka tena???Uje sasa pm
Nimetabasamu bhana sijakucheka. Hapana usifungue hahahahaha
Basi fanya kama unanisaidia kuja pm ili somo lianze mapemaNimetabasamu bhana sijakucheka. Hapana usifungue hahahahaha