Nampenda huyu memba

Nampenda huyu memba

Hajbu comment zangu
Basi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.
 
Basi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.
Bs stomfungulia tena ntafungua id ya kuanza nae nlyonayo haipend
 
Alianza To yeye kipindi anajiita Bees Mom akaja Lamomy akijiita CuteWife akaja Leejay49 watu wakawa wanapapatika sasa ni zamu ya ephen_ nae atapita akishampata wa kumuagizia BAGA wakaenda Movie kisha wakapiga SELFIE,

WHO IS NEXT? Maua Sama Komasava?

NB: HAO wote nimewataja hapo sasa wamepoa km UJI wa mgonjwa wameshapata visugulio vya JF sasa wametulia tuliii ukimuondoa Lamomy na Kapeace
Na ananisugua kweli wala hujakosea mahi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na kazi anaiweza ohhh.!! Hata nguvu za kutype ss hivi sina anavyonisugua kuta zote za kei.!


Ww sasa mbona hujasema anayekusugua??
 
Jirani humu kuna washenga wanajua mpk anayenisugua ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Yaani hadi nimeogopa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. Usikute wanajua hadi siku tunazosuguliwa na hatujui
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hatariii
Unaweza kupewa kisugulio humu na usikijue kipi??
Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..
Vipi lakini unaendeleaje??
Habari ya siku nyingi?
 
Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..
Vipi lakini unaendeleaje??
Habari ya siku nyingi?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Aje atutajie kwanza visugulio vyetu.!!
Niko pouwa jirani
 
Vizuri kama unaendelea vizuri, umemisika sana๐Ÿ˜˜,.
Hadi I'd yake nimeisahau, akivitaja nitag๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ huyo jamaa anazingua!! Alitumiss tuchangie huu uzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom