Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,407
- 54,850
๐๐๐๐ฌ
Jiandae kwa lolote unapoingia vitani, kuna mdau hapo juu yeye kaambiwa kabisa, mdada anataka aruke fence ๐คฃUnamaanisha nitapigwa sana vichwa? ๐ ๐ ๐
Basi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.Hajbu comment zangu
Bs stomfungulia tena ntafungua id ya kuanza nae nlyonayo haipendBasi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.
๐ ๐ ๐Jiandae kwa lolote unapoingia vitani, kuna mdau hapo juu yeye kaambiwa kabisa, mdada anataka aruke fence ๐คฃ
Na ananisugua kweli wala hujakosea mahi ๐๐๐Alianza To yeye kipindi anajiita Bees Mom akaja Lamomy akijiita CuteWife akaja Leejay49 watu wakawa wanapapatika sasa ni zamu ya ephen_ nae atapita akishampata wa kumuagizia BAGA wakaenda Movie kisha wakapiga SELFIE,
WHO IS NEXT? Maua Sama Komasava?
NB: HAO wote nimewataja hapo sasa wamepoa km UJI wa mgonjwa wameshapata visugulio vya JF sasa wametulia tuliii ukimuondoa Lamomy na Kapeace
Yaani hadi nimeogopa๐๐.. Usikute wanajua hadi siku tunazosuguliwa na hatujuiJirani humu kuna washenga wanajua mpk anayenisugua ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐ hatariiiYaani hadi nimeogopa๐๐.. Usikute wanajua hadi siku tunazosuguliwa na hatujui
Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimi๐๐..๐๐๐ hatariii
Unaweza kupewa kisugulio humu na usikijue kipi??
๐๐๐ Aje atutajie kwanza visugulio vyetu.!!Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimi๐๐..
Vipi lakini unaendeleaje??
Habari ya siku nyingi?
Vizuri kama unaendelea vizuri, umemisika sana๐,.๐๐๐ Aje atutajie kwanza visugulio vyetu.!!
Niko pouwa jirani
๐๐๐๐ huyo jamaa anazingua!! Alitumiss tuchangie huu uziVizuri kama unaendelea vizuri, umemisika sana๐,.
Hadi I'd yake nimeisahau, akivitaja nitag๐๐๐
Itakua kweli maana tumeusogeza๐๐๐๐๐๐ huyo jamaa anazingua!! Alitumiss tuchangie huu uzi
Sawa shemeji ngoja nivumilieShemeji tumekubaliana nikusaidie umpate shosti yangu, hilo pepo embu likemee haraka ๐