Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas
Una hatari mwanangu Mbwiga88. Yaani unampenda mtu ambaye hata hujui utampata wapi! Hebu angalia wimbo huu huenda utapata jibu.
umeshawahi muona?!au ndio umepagawa na thread zake tu.Jamani nimetokea kumpenda huyu dada...naomba ushauri wenu nitampataje? Please i need constructive ideas
Mapenzi hayajari factor kama hizo ndugu yangu.....wangapi wamependana bila kufahamiana?
Hayo yako si mapenzi ni kichaa bwana mdogo utakufa wakati si wako. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Nadhani jambo jema unaloweza kufanya ni kwenda kwa daktari wa akili vinginevyo jihesabu umepotea.
Hayo yako si mapenzi ni kichaa bwana mdogo utakufa wakati si wako. Ukiona vyaelea jua vimeundwa. Nadhani jambo jema unaloweza kufanya ni kwenda kwa daktari wa akili vinginevyo jihesabu umepotea.
kupenda ni kupendana
Nipo tayari kwa lolote hata kama angekuwa Mwigulu me sijali cha slave au mtumwa wat i need is my Evelyn