Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

womanity

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
495
Reaction score
679
Nampenda boss wangu nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha.Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia. Nifanye nini anitoke?
 
Tafuta kanguo kalainiiii halafu very tight, ingizana nako ofisini one day huku huna kitu ndani. Asipo kuangalia mara mbili jua haingiliki nawe funga virago uende home kwako ukalie machoziiii mpaka akutoke moyoni kabsa
 


Tafuta kanguo kalainiiii halafu very tight, ingizana nako ofisini one day huku huna kitu ndani. Asipo kuangalia mara mbili jua haingiliki nawe funga virago uende home kwako ukalie machoziiii mpaka akutoke moyoni kabsa
 
Last edited by a moderator:
Tafuta kanguo kalainiiii halafu very tight, ingizana nako ofisini one day huku huna kitu ndani. Asipo kuangalia mara mbili jua haingiliki nawe funga virago uende home kwako ukalie machoziiii mpaka akutoke moyoni kabsa
mtego huu matata....
 
Tafuta kanguo kalainiiii halafu very tight, ingizana nako ofisini one day huku huna kitu ndani. Asipo kuangalia mara mbili jua haingiliki nawe funga virago uende home kwako ukalie machoziiii mpaka akutoke moyoni kabsa

nimechekaje...naanzaje kwanza..nimeshalia ila kajamaa kamekomaa yaani sina raha.kama unaweza nisaidie tu kumnyofoa
 
Nampenda boss wangu..nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha..

Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia..nifanye nini anitoke

Mpe

atakutumia, utaumia then atakutoka akilini
 
jitahidi tu kumkwepa sio ishu kumvulia pichu boss, baadae maumivu yatakayofata utajuta kumfahamu...acha!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom