Namna ya kuzuia ujumbe wa kampuni za simu

Namna ya kuzuia ujumbe wa kampuni za simu

Mu7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
1,635
Reaction score
1,951
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Hakuna namna kama ukizuia message hakuna hata message moja itakayoingia
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Bado za SENSA hapo
 
Unaweza mkuu kwa kutumia njia ya block, spam au unknown, yaani kama ni smartphone everything possible.
Ni smartphone ndio. Nilishajaribu mpaka kuBLACKLIST lakini zinaingia tu!
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Hamisha kwenye blocked kila aina zipe block, kisha utazifata kuzidelete zote huko
 
Back
Top Bottom