Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 1,002
- 1,004
- Thread starter
- #21
sawa mkuu kwa hiya kwa sasa umeziongezea uimara zaidi.Password yangu ilikuaa nabadilisha herufi kuwa namba. Mfano Kama nialaikua nataka kutumia cybergates kama password nilikua naweka CY83R94T35 huu mfumo niliacha kuutumia baada ya kuona kuna baadhi ya tool kwenye debian zinauwezo wa ku cheza na password Za aina iyo