uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,594
Sijasema hawajajiandikisha,nimesema kwa wingi Kama upande wa piliKama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.
Sijasema hawajajiandikisha,nimesema kwa wingi Kama upande wa pili
Unashawishi njaa au shibe,Hadi vijijini tegemeo lenu wamekukataeni sababu ya njaa,mtapata dodoma pekee yake,Matokeo ya Uchaguzi 2015:
Mh. John Magufuli 8.8 million
Mh. Edward Lowassa 6.0 million.
Wote tunakubaliana kwamba Idadi ya Kura za EL hazitabadilika. Zinazihitajika ni kura za ambao hawakupiga kura na ambao walimpigia JPM 2015.
Ili TL aweze kushinda anahitaji kura si chini ya mil 9.
Namna ya kutafuta kura 3.0 million zilizopelea::
Kama kura 3m tukigawa kwa Halmashauri zote 185 = 16,300 kura zinahitajika kwa kila Halmashauri nchi nzima.
Iwapo vijana 100 kwenye kila Halmashauri nchi nzima wakiingia mtaani ina maana kila kijana atahitajika kushawishi watu 163 au zaidi kupiga kura ili kupata idadi ya 16,300.
Nishawachambulia kazi kwenu.
Stay blessed
Maendeleo hayana chama
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Utakuwa hujaelewa post. Isome tena kwa makini.Unashawishi njaa au shibe,Hadi vijijini tegemeo lenu wamekukataeni sababu ya njaa,mtapata dodoma pekee yake,
Kusini mmekimbia kupeleka fiesta,Kanda ya ziwa mmebomolewa Hadi vijijini,kagera,kigoma,awataki hata kusikia, Arusha, Manyara, kilimanjaro mmewabagua kuwapelekea maendeleo 5 yrs ili kuwakomoa Kama kimara hizo milioni 3 zitoke wapi.Kama tu boss wako anapiga hadii magoti na ubabe wake we nani kipofu
Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye
Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake
Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
Kila mtz toka mwaka Jana anajua atamchagua nani bila hata kupiga kampeniUtakuwa hujaelewa post. Isome tena kwa makini.
Umeelewa sasa? Hizo kura mil 3 ni za TL ili afikishe mil 9.Kila mtz toka mwaka Jana anajua atamchagua nani bila hata kupiga kampeni
Inawezekana lakini pia isiwezekane.Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye
Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake
Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
Kazi kubwa aliyofanya 100% ni kugandamiza watu wenye mawazo mbadala.Kazi zipi?
Orodhesha
ZILIPENDWA!!!!!!!October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Akikubali ushauri wa kila mtu si raia tutachanganyikiwa?Safari hii tunahitaji Rais msikivu, anayekubali kushaurika.
That was then, this is now.Hakuna kiongozi muongo kama huyu , naambatanisha ushahidi
View attachment 1603512
Kuna Watanzania wengi ambao wameona kazi alizofanya JPM. FYI JPM hana mpinzani whether you like it or not. Amefanya yapi taka hata matano tu
Kwani anayegombea ni mbowe au Mh Lissu? Yaweza kuwa unasumbuliwa na u ccm kama wewe ni mwanachama waoMbowe anawanachama wangapi nchi nzima?. Au umekalia ushabiki tu.
Hata Mimi nilikuwa Wa alowassa na ninakiri nilimpigia kura lowassa ilaLowassa aliondoka na kula zake milioni tatu akawaachia milioni moja tu, kwa hiyo mkijitahidi na za zito mtafikisha milioni tatu.
Kuna Washauri maalum wa Rais, "YUVISISIEMU" mbona hujielewi?Akikubali ushauri wa kila mtu si raia tutachanganyikiwa?
Sawa 6m - 1.Hata Mimi nilikuwa Wa alowassa na ninakiri nilimpigia kura lowassa ila
Nilurudi CCM Mapema tu nahisi week Tatu baada ya CHUMA kuapishwa na kuanza kupiga kazi. Nilijua kabisa Aina ya Rais anaehitahika Tanzania ni Huyu
kwa broo Punguza Kura Yangu Hapo unapisema zimebaki vile vile
HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI
Sasa ameona uhalisia. Hadi magoti katupigia kutuomba tumchague tena.That was then, this is now.