uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,593
Sijasema hawajajiandikisha,nimesema kwa wingi Kama upande wa piliKama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.