Uchaguzi 2020 Namna ya kutafuta kura 3m zilizopelea 2015

Kama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.
Sijasema hawajajiandikisha,nimesema kwa wingi Kama upande wa pili
 
Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye

Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake

Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
 
Matokeo ya Uchaguzi 2015:
Mh. John Magufuli 8.8 million
Mh. Edward Lowassa 6.0 million.

Wote tunakubaliana kwamba Idadi ya Kura za EL hazitabadilika. Zinazihitajika ni kura za ambao hawakupiga kura na ambao walimpigia JPM 2015.

Ili TL aweze kushinda anahitaji kura si chini ya mil 9.

Namna ya kutafuta kura 3.0 million zilizopelea::

Kama kura 3m tukigawa kwa Halmashauri zote 185 = 16,300 kura zinahitajika kwa kila Halmashauri nchi nzima.

Iwapo vijana 100 kwenye kila Halmashauri nchi nzima wakiingia mtaani ina maana kila kijana atahitajika kushawishi watu 163 au zaidi kupiga kura ili kupata idadi ya 16,300.

Nishawachambulia kazi kwenu.

Stay blessed
Maendeleo hayana chama

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Unashawishi njaa au shibe,Hadi vijijini tegemeo lenu wamekukataeni sababu ya njaa,mtapata dodoma pekee yake,
Kusini mmekimbia kupeleka fiesta,Kanda ya ziwa mmebomolewa Hadi vijijini,kagera,kigoma,awataki hata kusikia, Arusha, Manyara, kilimanjaro mmewabagua kuwapelekea maendeleo 5 yrs ili kuwakomoa Kama kimara hizo milioni 3 zitoke wapi.Kama tu boss wako anapiga hadii magoti na ubabe wake we nani kipofu
 
Unashawishi njaa au shibe,Hadi vijijini tegemeo lenu wamekukataeni sababu ya njaa,mtapata dodoma pekee yake,
Kusini mmekimbia kupeleka fiesta,Kanda ya ziwa mmebomolewa Hadi vijijini,kagera,kigoma,awataki hata kusikia, Arusha, Manyara, kilimanjaro mmewabagua kuwapelekea maendeleo 5 yrs ili kuwakomoa Kama kimara hizo milioni 3 zitoke wapi.Kama tu boss wako anapiga hadii magoti na ubabe wake we nani kipofu
Utakuwa hujaelewa post. Isome tena kwa makini.
 
Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye

Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake

Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea

Ukisomesha watu namba watakusomesha kura,hii ndo kanuni,so muwe wapole
 
Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye

Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake

Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
Inawezekana lakini pia isiwezekane.

Jambo la muhimu kutafakari je nini sababu iliyopelekea wananchi mil 6 kumpigia kura EL/Ukawa, jibu rahisi walihitaji mabadiliko.

Swali la pili Mabadiliko hayo wameyapata?

Kama mil 6 kura zilizopigwa kipindi vyuma havijakaza , je wakati vyuma vimekaza zitapatikana kura ngapi?

Tunapata shida kwa sababu tumewafungia researchers wasifanye kazi, Eyakuze alipewa kesi sio Raia N.k ila wao wangetupa picha nzuri sana kuhusu awamu hii.
 
Lowassa aliondoka na kula zake milioni tatu akawaachia milioni moja tu, kwa hiyo mkijitahidi na za zito mtafikisha milioni tatu.
Hata Mimi nilikuwa Wa alowassa na ninakiri nilimpigia kura lowassa ila
Nilurudi CCM Mapema tu nahisi week Tatu baada ya CHUMA kuapishwa na kuanza kupiga kazi. Nilijua kabisa Aina ya Rais anaehitahika Tanzania ni Huyu
😂🤣😂🤣😂🤣 kwa broo Punguza Kura Yangu Hapo unapisema zimebaki vile vile

HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI
 
Hata Mimi nilikuwa Wa alowassa na ninakiri nilimpigia kura lowassa ila
Nilurudi CCM Mapema tu nahisi week Tatu baada ya CHUMA kuapishwa na kuanza kupiga kazi. Nilijua kabisa Aina ya Rais anaehitahika Tanzania ni Huyu
kwa broo Punguza Kura Yangu Hapo unapisema zimebaki vile vile

HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI
Sawa 6m - 1.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom