Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,944
- 2,145
Jamaa flani Msafishaji wa Ndege
aliokota kitabu kimeandika; 'JINSI YA KUPELEKA NDEGE' wakati anasafisha ndege moja.
Akafungua ukurasa wa kwanza akasoma, "Ukitaka ndege iwake bofya kitufe chekundu."
...Akabofya
ndege ikawaka.
Akafungua ukurasa wa pili, akasoma tena, "Ukitaka ndege
ianze kutembea bofya kitufe cha Blu."
...akabofya
ndege ikaanza kusonga.
Akafungua ukurasa wa tatu akasoma, "Ukitaka ndege ipae boyfa kitufe cha manjano."
...akabofya ndege ikapaa.
Jamaa akacheka na kusema, "Hahaha, pumbav, kumbe kupeleka ndege rahisi hivi! Hawa marubani huturingia bure!"
Baada ya kukaa angani kwa muda akaamua atue...akafungu-a ukurasa wa nne ili asome jinsi ya kutua akapata kumeandikwa , 'KWA MAELEZO YA KUFANYA NDEGE ITUE, TEMBELEA CHUO
CHETU UFANYE COURSE YA MIAKA 5.'
aliokota kitabu kimeandika; 'JINSI YA KUPELEKA NDEGE' wakati anasafisha ndege moja.
Akafungua ukurasa wa kwanza akasoma, "Ukitaka ndege iwake bofya kitufe chekundu."
...Akabofya
ndege ikawaka.
Akafungua ukurasa wa pili, akasoma tena, "Ukitaka ndege
ianze kutembea bofya kitufe cha Blu."
...akabofya
ndege ikaanza kusonga.
Akafungua ukurasa wa tatu akasoma, "Ukitaka ndege ipae boyfa kitufe cha manjano."
...akabofya ndege ikapaa.
Jamaa akacheka na kusema, "Hahaha, pumbav, kumbe kupeleka ndege rahisi hivi! Hawa marubani huturingia bure!"
Baada ya kukaa angani kwa muda akaamua atue...akafungu-a ukurasa wa nne ili asome jinsi ya kutua akapata kumeandikwa , 'KWA MAELEZO YA KUFANYA NDEGE ITUE, TEMBELEA CHUO
CHETU UFANYE COURSE YA MIAKA 5.'