nipo naye huku ghettoKila shetani na mbuyu wake na ndege wafananao huruka pamoja .....wakati ukitimia atakuja kwa ulaini kabisa.. Ila kwasasa kuna mahali anabebishwa!
Basi hakupendinipo naye huku ghetto
Ila kwasasa kuna mahali anabebishwa!
Tafadhali muulize baba yako alivyompata mama yakoHivi mliooa na mnaoendelea kuoa mlipata/mnapata vipi hao wake mpaka kuoana?Mbona mimi sipati? Yani hata girlfriend sina,kama ambavyo watu wengine wanao.
solombe ndo nini?Nilikonektiwa na rafiki yangu, nikaanza kutupia nyavu akawa mjanja(mgumu kunasa) akihofia kuachwa solombe, nikakomaa hadi akaingia laini.
The rest is history...
Huo ndio ukweli mchunguHahahaaaa
Hongera sanaNilikonektiwa na rafiki yangu, nikaanza kutupia nyavu akawa mjanja(mgumu kunasa) akihofia kuachwa solombe, nikakomaa hadi akaingia laini.
The rest is history...
Solembasolombe ndo nini?
Nimekupata dogoSolemba