Am good with Oriflame
Member
- Jul 11, 2016
- 30
- 39
Ni rangi zote my dishii ipo fit kwa rangi zote au hubagua colour? yaan kwa mwenye rangi nyeusi au rangi ya weupe
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Ni rangi zote my dishii ipo fit kwa rangi zote au hubagua colour? yaan kwa mwenye rangi nyeusi au rangi ya weupe
huhuhu shukrani konda wa boda bodaMafuta ya taa nasikia ni tiba tosha.
Umenielewaje?huhuhu shukrani konda wa boda boda
mafuta taa ni tiba, japo cfaham tiba kivip na yanatumikajeUmenielewaje?
Mimi ndo nipo kwenye safari ya ugonjwa siku ya nne leo, vinawasha kama niniDuh huu ugonjwa ni shida sana, nina wiki ya 2 sasa tangu nitoke kuumwa, umenisumbua sana mpaka umeharibu saikolojia yangu, uso umebaki spots nyeusi, nakausha tu najua ipo siku vidoti hivi vitapotea tu uso wangu urudi ka zamani
Dah pole sana mkubwa, ukipona na ukipata dawa ya kuondoa dots nijulishe.Mimi ndo nipo kwenye safari ya ugonjwa siku ya nne leo, vinawasha kama nini
Nitakujulisha ndugu...asante ndugu yangu!Dah pole sana mkubwa, ukipona na ukipata dawa ya kuondoa dots nijulishe.
Dah pole sana mkubwa, ukipona na ukipata dawa ya kuondoa dots nijulishe.
dots zipo wapi niwapeni dawa? dawa ipo ila sio ya kupaka usoni wakuuMimi ndo nipo kwenye safari ya ugonjwa siku ya nne leo, vinawasha kama nini
Ni ya kupaka wapi?dots zipo wapi niwapeni dawa? dawa ipo ila sio ya kupaka usoni wakuu
sehemu zote isipokuwa usoniNi ya kupaka wapi?
Pole kwa kuugua mkuu. Mie mara ya mwisho kuugua huo ugonjwa ilikuwa darasa la 3 primary. Sijui umeupatajeWandugu habari zenu!wapendwa niliugua tetekuwangu mwezi mmoja umepita,nimepona sasa naendelea na masomo/kazi yangu kama kawaidaNimebalkiwa na madoa mwilini especialy sehemu za mgongo,na usoni (reception) kiasi.Hizi madoa zinanikera wandugu natamani kuzichokonoa zitoke !chenyenimefikiri mnishauri dawa isikue jamii ya kichini ili nitumie kuondoa hizi dot com kwa uso!Ahsanteni wapenzi !FB!
Tupe maelekezo ndo njia zangu hizo, mi mwenyewe nakaribia kupona sasa!!Kunasabuni moja ya matunda mchanganyiko,kuna mama mmoja pale kibaha maili moja alinipa ilinisaidia pakubwa,labda niwaelekeze wakuu kwa huyo mama ni pale stand tu
baking soda kiasi gani madame agnes?Au tumia baking soda changanya na maji kidogo