Nimekuwa muhanga kwa muda mrefu kwa tatizo hili, kuna mtu anaingilia mawasiliano yangu ya simu hasa call za simu, messeji na whatsap na facebook,nimehangaika kwa muda mrefu sana nimejaribu kubadilisha simu lakini tatizo liko palepale, nimejaribu kubadilisha line ya simu tatizo liko palepale, nimejitahidi sana lakini nimekuwa sina namna