rettyy
Member
- Nov 7, 2017
- 73
- 34
Naomba maelekezo jinsi ya kutuma maombi kwa ambae ameshafanikiwa kutuma maombi ya kazi za muda NEC kwa sababu nimeingia necrecruitment@nec.go.tz nimeshindwa kutuma
Naomba maelekezo jinsi ya kutuma maombi kwa ambae ameshafanikiwa kutuma maombi ya kazi za muda NEC kwa sababu nimeingia necrecruitment@nec.go.tz nimeshindwa kutuma
Umeingia vip iyo tena? Tuma kama emal zingine unavotuma
Hivi hao ndio mbadala wa wakurugenzi?
Hahaha alijua hiyo Ni tovuti
Ndo wamesema IT watapewa kipaumbele kukwepa vitu Kama hivi
Aisee NEC hawatakuchukua ata ukienda ofisini kwao zingatia kigezo cha computer literacy.
sorry kwa kucheka mkuu..ah ah ah umeingia wapi ah ah ah ah..Naomba maelekezo jinsi ya kutuma maombi kwa ambae ameshafanikiwa kutuma maombi ya kazi za muda NEC kwa sababu nimeingia necrecruitment@nec.go.tz nimeshindwa kutuma
Weka wale wawili ambao uliwaweka kipindi kile unaomba tume ya utumishi wa mahakamamimi , ninashida na wadhamini , i mean referees . msaada hapo , japo wawili tu , niandike .