Namna ya kumkamata mwanaume!!

uuuuups.....somo zuri sana kwet sisi wadada be blessed
it difficult in action lol
 
Kama hakupendi hata ungemfanyiaa nin hakupendii tu
 
Ngoja nikitulia nisome kwa kituo naona kuna mafunzo hapa
 
Lalamiko langu kwenye ile thread liko sawa kabisa eti 2weeks ooh..una mpango gani?
Lazima nikugegede nisepe zangu #quitely ...!!
 

Mama wewe, una bahati ya mtende. Wanaume wote hawawezi kuwa baba ashrat, malovee sometimes ni pata potea hehehe mie ngoja niende nyumbani nisikute ka blanket kangu kameibiwa
 
Dah.. Huu uzi nimeusoma wakati muafaka kabisaa..... Ntausoma tena kesho na kesho kutwa walau niukariri...

Wallah nisipomkamata najiondoa JF.....
 
That True Bi Dada maana now days Una ulizwa una mpango gan na mm ukiangalia hata wiki hamja timiza tangia muanzishe mahusiano yenu hasa pale akiona Wallet ina umate mate wadada wengi wa mjin ni Matapeli sana tena ni Wasani(Vicheche) sasa wanapo kutana na Wanaume Washenz km wao utasikia Sitopenda tena mara ooohhh hakuna mapenz ya kweli siku hizi kumbe kasahau kuwa Muosha Huoshwa Ni topic Nzur sana ningependa wasichana wote wapate ujumbe huu.
 
Hongera mama kwa mtazamo wako mzuri, japo wanawake wengi ni walaghai siku hizi.
 
Hayo yakifuatwa hakutakuwa na watu watakaoleta matatizo ya ndoa na mahusiano jf. na kweli wanaume watakuwa wameshikwa
 
Dah.. Huu uzi nimeusoma wakati muafaka kabisaa..... Ntausoma tena kesho na kesho kutwa walau niukariri...

Wallah nisipomkamata najiondoa JF.....

Naomba na amu aje ausome. Tatizo wadada wa siku hizi mmetugeuza sie ndio walezi wenu.! Walah, nikiona mwanamke mwenye mwelekeo wa kunigeuza mie atm namgegeda aafu tusijuane kabisaaa.
 
Last edited by a moderator:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…