Namna ya Kumbadilisha Mpenzi wako

mabadiliko yanawezekana ila yako katika sehemu tatu tu
  1. muda mfupi
  2. muda wa kati
  3. muda mrefu
ila wengi hudhani kumbadilisha mtu ni kitu cha muda mfupi au papo kwa papo
tabia huchukua muda tofauti kutegemeana na malezi alikotoka

BPM asante sana kwa mawazo yako
Naamini kweli mtu akiwa na nia ya kugeuka au kubadilika nafasi ipo sana kw amtu huyo kufanya hayo haswa kwa wanandoa
 
sio kujadiliana tu hawana hata muda wa kutaniana na hii imejengwa kwa wanandoa wengi hata zinapoyumba na matokeo yake kila mmoja ndani ya ndoa anakimbilia kulalamika nje kama kuomba ushauli au anaona ananyimwa haki ,...... imefikia hata haki ya ndoa unaenda kuomba ushauri kama si haki yako duh

Kweli kabisa mkuu
Ndani ya ndoa imebadi ni kila upande kutoa lawama kwa upande mwingine kuwa ndio chanzo cha matatizo
Wanandoa wamekuwa kama simba na swala kuviziana na maamuzi ya familia yamekuwa ya upande mmoja na mwingine hakuna kubisha
Mume akiamua mke hakuna kupinga au kubisha wala kutoa ushauri au mabadiliko
Hayo yako kwenye ndoa nyingi sana
 
kweli kabisa mkuu
ndani ya ndoa imebadi ni kila upande kutoa lawama kwa upande mwingine kuwa ndio chanzo cha matatizo
wanandoa wamekuwa kama simba na swala kuviziana na maamuzi ya familia yamekuwa ya upande mmoja na mwingine hakuna kubisha
mume akiamua mke hakuna kupinga au kubisha wala kutoa ushauri au mabadiliko
hayo yako kwenye ndoa nyingi sana
ujue rocky watu hawajui mapenzi especially wanaume, watu wanarukianarukiana tu kwasababu ya tamaa zao za mwili ambazo ni za muda mfupi, mwishowe wanaanza kuishi kama swala na chui hamna kusikilizana wala nini
 
Kweli kabisa mkuu
Ndani ya ndoa imebadi ni kila upande kutoa lawama kwa upande mwingine kuwa ndio chanzo cha matatizo
Wanandoa wamekuwa kama simba na swala kuviziana na maamuzi ya familia yamekuwa ya upande mmoja na mwingine hakuna kubisha
Mume akiamua mke hakuna kupinga au kubisha wala kutoa ushauri au mabadiliko
Hayo yako kwenye ndoa nyingi sana

kitu kingine wengi hawako tayari kutafuta chanzo cha tatizo yaani inakuwa kama tatizo ndo chanzo cha vurugu na kwa vile kuna malengo tofauti basi hitilafu kama hizo husababisha mengine ukiongeza na washauri fake duh ... maana kuna familia ambazo mtu unaona wazi nani ana msimamo au sauti au maamuzi ambayo hayafai na yanayofaa
 
Rocky kumbadili mtu mzima ni kazi sana, unaweza ila asilimia ndogo saana, mtu awezi acha asili yake, anaeza badilika kwa muda kama ni mwanzo wa mahusiano ili akuvutie, with time anarudia lifestyle yake, hiyo naongelea tabia tu ya mtu, ulevi na mengine asilimia ya kubadilika inaongezeka
Hapo kwenye red Gaga,maji hayasahau baridi sio?
 
ujue rocky watu hawajui mapenzi especially wanaume, watu wanarukianarukiana tu kwasababu ya tamaa zao za mwili ambazo ni za muda mfupi, mwishowe wanaanza kuishi kama swala na chui hamna kusikilizana wala nini
kwenye red hapo,Bebii ntakuchapa!
 
ujue rocky watu hawajui mapenzi especially wanaume, watu wanarukianarukiana tu kwasababu ya tamaa zao za mwili ambazo ni za muda mfupi, mwishowe wanaanza kuishi kama swala na chui hamna kusikilizana wala nini

si wanaume tu , wengi kwa sasa ndoa wanachukulia kama kitega uchumi .. wanawake wengi hawapendi kukuubaliana na hali zao za familia kwamba ni za chini wanajikuta wanakuwa na msongo wa mawazo yasiyo na tija mwisho wa siku hata tendo linakuwa ni sehemu ya kutimiza wajibu na si sehemu ya furaha ndoani
 
ujue rocky watu hawajui mapenzi especially wanaume, watu wanarukianarukiana tu kwasababu ya tamaa zao za mwili ambazo ni za muda mfupi, mwishowe wanaanza kuishi kama swala na chui hamna kusikilizana wala nini

Unajua ningefurahi sana kama kungekuwa kuna semina za mara kw amara za ndoa ambazo wanandoa wanaalikw akuhudhuria na wakawepo wataalam wa masuala hayo ambbao wako tayari kutoa mbivu na mbichi za ndoa
Watu waambiwe ukweli kuhusu ndoa
Nafikiri hii ingesaidia hasa sisi wanaume ndio tuna matatizo sana
 
kitu kingine wengi hawako tayari kutafuta chanzo cha tatizo yaani inakuwa kama tatizo ndo chanzo cha vurugu na kwa vile kuna malengo tofauti basi hitilafu kama hizo husababisha mengine ukiongeza na washauri fake duh ... maana kuna familia ambazo mtu unaona wazi nani ana msimamo au sauti au maamuzi ambayo hayafai na yanayofaa

Kweli kabisa mkuu hapo
Hawako tayari kujua nini kilisababisha hali hii itokee au ni nini tunaweza kufanya kurudisha hali ya mwanzo
Ni tatizo kwa kweli maana kama hujui hili tatizo lilisababishwa na nini huwezi kutafuta ufumbuzi wake
Watu wanakimbilia kwenye conclussion badala ya kutafuta nini chanzo cha hiyo conclussion
 
si wanaume tu , wengi kwa sasa ndoa wanachukulia kama kitega uchumi .. wanawake wengi hawapendi kukuubaliana na hali zao za familia kwamba ni za chini wanajikuta wanakuwa na msongo wa mawazo yasiyo na tija mwisho wa siku hata tendo linakuwa ni sehemu ya kutimiza wajibu na si sehemu ya furaha ndoani

na si kitega uchumi tuu vile vile ndoa imekuwa kama ni kiringishio yaani kuwaonyesha walimwengu kuwa na wew eumeolewa au umeoa na unaweza kuwa na familia
Zaidi ya hapo yale majukumu ya ndani ya ndoa kutimiza hujui
So ndoa inabadi kama alama tuu machoni mwa watu ila uhalisia hakuna kitu
 
kwani uongo? Wanaume wangekuwa wawazi kwenye mapenzi hii dunia ingekuwa sehemu nzuri sana

Kila upande una part ya kuplay katika uwazi wa ndoa
Yaani kila mmoja akubali na ajijue nafasi yake na hapo hutakuwa na issue ya kusema kuwa kuna upande uko weak
 
unajua ningefurahi sana kama kungekuwa kuna semina za mara kw amara za ndoa ambazo wanandoa wanaalikw akuhudhuria na wakawepo wataalam wa masuala hayo ambbao wako tayari kutoa mbivu na mbichi za ndoa
watu waambiwe ukweli kuhusu ndoa
nafikiri hii ingesaidia hasa sisi wanaume ndio tuna matatizo sana
semina zipo sema watu hawapendi kujifunza. Mtu gari ikiisha tairi yupotayari kununua ingine ila kulipia semina ya ndoa hawawezi kazi kunywa pombe tu siku kuna matatizo ndani eti ndo soln damn....?
 
si wanaume tu , wengi kwa sasa ndoa wanachukulia kama kitega uchumi .. wanawake wengi hawapendi kukuubaliana na hali zao za familia kwamba ni za chini wanajikuta wanakuwa na msongo wa mawazo yasiyo na tija mwisho wa siku hata tendo linakuwa ni sehemu ya kutimiza wajibu na si sehemu ya furaha ndoani
BPM Hapo sijakuelewa hali zao za chini kwa maana gani kuwa huko kwa wazazi alikotokea au huyo mume aliyemuoa?kama unamaanisha alikotokea vip kuhusu (wanandoa) wale walioanza na kitanda kimoja na chumba kimoja cha kupanga baada ya muda wakabarikiwa kujenga ghorofa then mwanaume akaanza makeke? Na hapa tusemeje?
 
na si kitega uchumi tuu vile vile ndoa imekuwa kama ni kiringishio yaani kuwaonyesha walimwengu kuwa na wew eumeolewa au umeoa na unaweza kuwa na familia
Zaidi ya hapo yale majukumu ya ndani ya ndoa kutimiza hujui
So ndoa inabadi kama alama tuu machoni mwa watu ila uhalisia hakuna kitu

ni heri hata wangefanya ndoa ni utu wengine wanachukulia kama ni stage fulani mtu anapita katika maisha kama vile ubatizo au kipaimara etc
 
Back
Top Bottom