Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
MAHITAJI
1. Mayai matatu makubwa
2. Maji ya uvuguvugu vijiko viwili vya chakula
3. Pilipili manga nyeupe ya unga kidogo
4. Chumvi kidogo
5. Siagi
6. Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Pasua mayai tia katika bakuli, tia humo chumvi, manga, na maji ya uvuguvugu
2. Katika moto wa wastani weka kikaango jikoni, tia humo siagi na mafuta ya kupikia kiasi, acha yachemke kiasi
3. Mwagia rojo la yai humo tandaza vizuri
4. Yai likishaiva upande wa chini, pindua upande mwingine ivisha kisha toa yai kutoka kwenye kikaango
5. Acha yai lipoe
Andaa mikate na chai ya maziwa na yai kisha jenga mwili
1. Mayai matatu makubwa
2. Maji ya uvuguvugu vijiko viwili vya chakula
3. Pilipili manga nyeupe ya unga kidogo
4. Chumvi kidogo
5. Siagi
6. Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Pasua mayai tia katika bakuli, tia humo chumvi, manga, na maji ya uvuguvugu
2. Katika moto wa wastani weka kikaango jikoni, tia humo siagi na mafuta ya kupikia kiasi, acha yachemke kiasi
3. Mwagia rojo la yai humo tandaza vizuri
4. Yai likishaiva upande wa chini, pindua upande mwingine ivisha kisha toa yai kutoka kwenye kikaango
5. Acha yai lipoe
Andaa mikate na chai ya maziwa na yai kisha jenga mwili