SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 803
Wakuu habari,
Naomba kujua unapotaka kuajiriwa WORLD VISION unalipia fomu ya kujiunga?. Au kuna utaratibu gani hapo kwa form four?
Wakiwa wanafungua tawi mfano Mwanza kuna taratibu zipi hasa kwa wanaoajiriwa kwa form four lakini.
Nawasilisha.
Naomba kujua unapotaka kuajiriwa WORLD VISION unalipia fomu ya kujiunga?. Au kuna utaratibu gani hapo kwa form four?
Wakiwa wanafungua tawi mfano Mwanza kuna taratibu zipi hasa kwa wanaoajiriwa kwa form four lakini.
Nawasilisha.