Namna ya kufika Botswana kutokea Dar es salaam

Namna ya kufika Botswana kutokea Dar es salaam

gambada ynwa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
394
Reaction score
376
Habari za mwisho wa wiki waungwana?
Naomba anayejua namna ninavyoweza kufika Botswana kutokea Dar anisaidie maelekezo ila isiwe kwa ndege.
Nahitaji kwenda Botswana kujaribu nafasi nyingine ya maisha.
Pia naomba kujua inabidi niwe na documents gani ili niingie kwa njia halali.
Nimeamua hivi kwa sababu Botswana ni nchi ya ndoto yangu tangu nikiwa mdogo. Hivyo nimeona nikajaribu bahati yangu huko.
Nawasilisha
 
Habari za mwisho wa wiki waungwana?
Naomba anayejua namna ninavyoweza kufika Botswana kutokea Dar anisaidie maelekezo ila isiwe kwa ndege.
Nahitaji kwenda Botswana kujaribu nafasi nyingine ya maisha.
Pia naomba kujua inabidi niwe na documents gani ili niingie kwa njia halali.
Nimeamua hivi kwa sababu Botswana ni nchi ya ndoto yangu tangu nikiwa mdogo. Hivyo nimeona nikajaribu bahati yangu huko.
Nawasilisha
Docs ziwe halaliiii auntndalichako...yaani ukijua docs zakoo huyumama aziafiki usiendde

Kuhusukwenda njoo pale ubungo...terminal
 
Habari za mwisho wa wiki waungwana?
Naomba anayejua namna ninavyoweza kufika Botswana kutokea Dar anisaidie maelekezo ila isiwe kwa ndege.
Nahitaji kwenda Botswana kujaribu nafasi nyingine ya maisha.
Pia naomba kujua inabidi niwe na documents gani ili niingie kwa njia halali.
Nimeamua hivi kwa sababu Botswana ni nchi ya ndoto yangu tangu nikiwa mdogo. Hivyo nimeona nikajaribu bahati yangu huko.
Nawasilisha
Naomba uambatane na mkeo na watoto halaf uhakikishe madeni yako yote hapa bongo umelipa kabla ya kuondoka.
 
Una ujuzi gani? Au unataka kufanya kazi gani? Mshahara unaoota ni kiasi gani? Niambie hapa hapa
Mi ni mtaalamu wa lugha (linguistics)
Hivyo nafundisha Language and kiswahili
 
Panda mabasi yanayokwenda Tunduma,pale utachukua
mabasi ya Lusaka-Zambia.Lusaka utachukua mabasi yanayoelekea Kazungura boarder.Pale utavuka kwa kivuko kuelekea upande was Botswana,kisha utachukua usafiri wa kukufikisha Gaborone(sina uhakika kama Siku hizi kuna mabasi Lusaka -Gaborone).Luna kipindi mabasi hayo hayakuwepo
 
Panda mabasi yanayokwenda Tunduma,pale utachukua
mabasi ya Lusaka-Zambia.Lusaka utachukua mabasi yanayoelekea Kazungura boarder.Pale utavuka kwa kivuko kuelekea upande was Botswana,kisha utachukua usafiri wa kukufikisha Gaborone(sina uhakika kama Siku hizi kuna mabasi Lusaka -Gaborone).Luna kipindi mabasi hayo hayakuwepo
Asante mkuu unaweza jua nauli ya kutoka Dar mpaka huko inaweza kua kiasi gani?
 
Panda taqwa kutoka dar mpaka lusaka halafu hapo utapanda basi mpaka kazingula border. Pale unavuka kwa kivuko then utapanda basi mpaka Francis town ambao ni mji wa pili kwa ukubwa Botswana. Hapo utapata gari za kwenda Gaborone. Gharama zote fanya kama laki 3 hivi.
 
Asante mkuu unaweza jua nauli ya kutoka Dar mpaka huko inaweza kua kiasi gani?
Mkuu ukifika nahitaji unipm kwan inawezekana nami nikatimka tz mida siyo ming nahitaj kubadili upepo .ila ninavutiwa Sana na Rwanda kwenda kufanya kazi huko badae niingie kwenye mambo ya biashara lakin sijaridhika bado nahitaj kuijua bostwan a then nipige hesabu zangu
 
Mkuu ukifika nahitaji unipm kwan inawezekana nami nikatimka tz mida siyo ming nahitaj kubadili upepo .ila ninavutiwa Sana na Rwanda kwenda kufanya kazi huko badae niingie kwenye mambo ya biashara lakin sijaridhika bado nahitaj kuijua bostwan a then nipige hesabu zangu
Mkuu mi nataka kwenda tu liwalo na liwe. Shida kitu gani na tunaishi mara moja bhana
 
Panda taqwa kutoka dar mpaka lusaka halafu hapo utapanda basi mpaka kazingula border. Pale unavuka kwa kivuko then utapanda basi mpaka Francis town ambao ni mji wa pili kwa ukubwa Botswana. Hapo utapata gari za kwenda Gaborone. Gharama zote fanya kama laki 3 hivi.
Asante sana mkuu kumbe i can afford the cost. Ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom