Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Habari Wakuu,
Baada ya Vodacom kupandisha gharama ya vifurushi vyao. Nimeamua kuiweka line yao pembeni na kuchukua TTCL. Ila sitaki kupoteza wateja wangu wa Vodacom.
Nahitaji kudivert line ya voda ili nikipigiwa simu ziingie kwenye line Mpya ya TTCL.
Naomba nipewe ujuzi wa jinsi ya kudirvert kutumia Android Os.
Asante.
Baada ya Vodacom kupandisha gharama ya vifurushi vyao. Nimeamua kuiweka line yao pembeni na kuchukua TTCL. Ila sitaki kupoteza wateja wangu wa Vodacom.
Nahitaji kudivert line ya voda ili nikipigiwa simu ziingie kwenye line Mpya ya TTCL.
Naomba nipewe ujuzi wa jinsi ya kudirvert kutumia Android Os.
Asante.