Namna ya ku-unroot simu

Namna ya ku-unroot simu

Aina ya CM ni Tecno C8 na imerootiwa kwa kingroot na alipo iformat cm kingroot ilitoka. Ukitumia root checker inatoa taarifa kuwa the root improperly installed. Nini itakuwa tatizo hapo?
eka tena kingroot, root tena halafu tumia njia sahihi ku unroot
 
Hata mimi mwenyewe kuna kipindi nilikuwa na-root kwa hiyo app ya superSU ikakataa kwa kuniletea ujumbe huo huo.Nimeroot kwa app nyingine imekubali.
Using'ang'anie app moja,tumia app nyingine.
Kama ulitumia app nyingne ikakubali ni vizuri ukaitaja app iliyokubali kwako na sio tu kusema app nyingne.sorry
 
Nliroot kwa king root japo nkiweka root checker inazngua inasema ckukamisha rooting but nw hata developer kwenge cm hkuna
 
Nliroot kwa king root japo nkiweka root checker inazngua inasema ckukamisha rooting but nw hata developer kwenge cm hkuna
View attachment 415011
Fungua kingroot,angalia juu kabisa mkono wa kulia,utaona vidot vitatu,hivyo ni menu,vi-click.
View attachment 415012
Ukishavi-click,itakuja option kama unayoiona,chagua 'general setting'
View attachment 415013
Ukishachagua 'general setting',shuka hadi kwenye 'unistall kingroot'
View attachment 415014
Ukishachagua 'uninstall kingroot',kitakuja kibox,bonyeza 'continue'
View attachment 415016
Ukishabonyeza 'continue',kitakuja kibox kingine,bonyeza 'OK'
View attachment 415017
Ukishabonyeza 'OK',kitakuja kibox kingine kitakuonyesha ' In progress',hapo maana yake kinatoa root.
View attachment 415018
Tayari sasa root katika simu yako imeshatoka,itakwambia 'Root access has be removed'
Mpaka hapo utakuwa umeshatoa root completely.
 
Back
Top Bottom