Daaaaaah, we kijana mwanamke ukitaka kumfuatilia utajiletea matatizo mengi sana. sikatai mwanamke ni muhimu kumbana lakini kuna kipindi ukitaka kukaba hadi penalt utapata matatizo sana. hawa wenzetu wana akili mara 2li yetu ifikapo katika suala zima la mapenzi. ila kwa mambo mengine ni wajinga kuliko mtoto wa mwaka 1 ambapo mwanamk eutamchezea na kumbadilisha utakavyo bila yeye kujijua.
application hizo zipo sana tu na mii ninayo moja ambayo nishawahi kuitumiakwa wife,il niliiondoa aada ya kunifanya nimchukie mke wangu ghafla. so sikushauri kabisa utumie vitu kama hivyo.
wapi? And how to buy it mkuu!
poa mkubwa! Lakini hujui kwamba nayo pia ina saidia kujua mpo wa ngapi?
Wivu mbaya sana! Baadaye utataka namna ya kujua passwords za Email address zake kibao alizo nazo!
Ni kujitafutia kifo kabla ya muda tu. Binadamu hachungiki.
jamaa hajaomba ushauri. Kaomba hiyo app. Mpe kwanza.then mshauri baadae. Achague kusuka au kunyoa[/rdQUOTE]
Jamaa kaomba sumu. Unasema 'mpe anywe kwanza', kisha utamhubiria baadae madhara ya sumu. Loooh!
Hello Jf ,naomba msaada wa namna ya kufahamu calls zote anazopiga au kupigiwa ,received and sent sms za Girlfriend wangu! Thank you.
Watoto wa kizazi cha digitali hawa mzee mwenzangu!
Asprin; Itabidi tuanzishe jukwaa la kizazi kipya humu kwani naona tunaingiliwa sana na kizazi kipya kabisaaaa!!!!!! Huyu dogo anataka kuja kujinyonga mchana kweupeee na atuachie lawama bure!!!!
Kama unataka kumuacha huyo girl friend wako i umuache tu kwani lazima kumtafutia sababu?!
Hello Jf ,naomba msaada wa namna ya kufahamu calls zote anazopiga au kupigiwa ,received and sent sms za Girlfriend wangu! Thank you.