Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Hello Jf ,naomba msaada wa namna ya kufahamu calls zote anazopiga au kupigiwa ,received and sent sms za Girlfriend wangu! Thank you.
Msaidieni cyo mnamzingua
Msaidieni cyo mnamzingua
una kifua?
Kutrack mawasiliano ya simu ya GF wako vipi mitandao mingine kibao? Vipi mawasiliano ya ana kwa ana? Vipi ukaguzi wa sehemu muhimu za mwili kama zimetumika au la? Utakufa kabla ya siku zako Kijana. Binadamu hachungwi, bali anajichunga mwenyewe.
Hello Jf ,naomba msaada wa namna ya kufahamu calls zote anazopiga au kupigiwa ,received and sent sms za Girlfriend wangu! Thank u
Msaidieni cyo mnamzingua
Hello Jf ,naomba msaada wa namna ya kufahamu calls zote anazopiga au kupigiwa ,received and sent sms za Girlfriend wangu! Thank u.
Nia yako ya kufanya hivyo ni nini hasa? Pili inabidi ujiridhishe kuwa una kifua cha kuvumilia matokeo yeyote utakayokutana nayo. Smartphones nyingi zina applications ambazo zinaweza kukidhi haja yako, ingawa nyingi ya hizo applications ni za kulipia pesa kidogo. Mfano kwa Samsung kuna application ya Calls Recall ni nzuri sana au pia Call Recorder. Kuna applications nyingi sana tafuta muda tulia kwenye mtandao uchambue inayokufaaa zaidi!
kumlinda mwanamke ni sawa na kulinda bahari watu wasioge,unazuia watu wasioge zanzibar wengine wanaoga bagamoyo,unazuia bagamoyo wengine wanaoga kigamboni.kazi ni kwako mkuu
tafta app inaitwa spybubble bt inauzwa ukiwa nayo kaz kwako tu