nm4mbangala
Member
- Jul 5, 2020
- 13
- 5
Naomba kufahamishwa mimi kama mjasiriamali mdogo ni biashara gani naweza kufanya zikaniinua kiuchumi maana mtaji nilio nao ni mdogo.
Kama zitakuwa hata ni za kuingiza 10,000 kwa siku sawa tu.
Zaidi soma: List ya biashara zenye mtaji mdogo
Kama zitakuwa hata ni za kuingiza 10,000 kwa siku sawa tu.
Zaidi soma: List ya biashara zenye mtaji mdogo