Dar es SalaamUnapatikana mkoa gani
Kama una milioni tano...Habar ndugu zangu,
Mimi ni kijana nmefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo.
karibuni ndugu
Wazo zurikama una milioni tano...
fikiria biashara za milioni 2 kushuka chini..
usitumbukize pesa yote kweny biashara usiyoijua
Million 2 hata frame haitoshi. Usimstress bwana mdogo.kama una milioni tano...
fikiria biashara za milioni 2 kushuka chini..
usitumbukize pesa yote kweny biashara usiyoijua
Fungua Tigopesa, Mpesa, etc ukiwa na location nzuri Kwa mwezi hukosi laki Tisa plus (nasikia)Habar ndugu zangu,
Mimi ni kijana nmefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo.
karibuni ndugu
Dunia hii ya kisasa kufany biashara cha kwanza unawaza frame...😂😂😂Million 2 hata frame haitoshi. Usimstress bwana mdogo.
We ndio unajichelewesha kwa kubeza business tradition.Dunia hii ya kisasa kufany biashara cha kwanza unawaza frame...😂😂😂
utachelewa boss
biashar ni ile ile tokea enzi na enzi kinachotofautisha ni utendj wa kisasa na wa kizamani..We ndio unajichelewesha kwa kubeza business tradition.
Sawa sawabiashar ni ile ile tokea enzi na enzi kinachotofautisha ni utendj wa kisasa na wa kizamani..
wew umebaki na biashr ya kizaman..ambayo eti huwz anza mpk ukodishe
sasa mm au wew nan anajichelewesha...
Jifunze na uanze vipodozi, ndiyo nayozeekea. Ukifuata sheria za mchezo, unadumu nayoHabari ndugu zangu,
Mimi ni kijana nimefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo.
Karibuni ndugu
Wewe unafanya biashara kwa mfumo upi?biashar ni ile ile tokea enzi na enzi kinachotofautisha ni utendj wa kisasa na wa kizamani..
wew umebaki na biashr ya kizaman..ambayo eti huwz anza mpk ukodishe
sasa mm au wew nan anajichelewesha...
Hivi biashara ya vipodozi ina mzinguko kweli?Jifunze na uanze vipodozi, ndiyo nayozeekea. Ukifuata sheria za mchezo, unadumu nayo
Inapendwa na wengiHivi biashara ya vipodozi ina mzinguko kweli?
Sio rahisi KIASI HICHI.Fungua Tigopesa, Mpesa, etc ukiwa na location nzuri Kwa mwezi hukosi laki Tisa plus (nasikia)