Namna gani hapa UKAWA wanapata penati!

Namna gani hapa UKAWA wanapata penati!

ndotoza mchana !! kama CCM wangekosea na kuweka vibaka ama wengine sawa. Lakini kwa MWALIMU WA KEMIA hakuna silaa wala slaa wala salaaaa, watanzania wanamjua magufuli !! tena kwa positive !!
 
Kikwete katupa nchi bila ya Jasho sisi UKAWA,Asante sisi haoooooo IKULU UKAWA
 
Mkuu CCM waliingia Dodoma wakiwa vipandevipande ila wanatoka huko wakiwa kitu kimoja. Magufuli anakubalika kotekote. Na Lowassa atasimama na kusema amevunja kundi lake na sasa ni kundi moja la CCM.

Mbona alipokuwa ardhi alisikika akanda kwenye vitoweo pia akasikika vyema kwa utendaji kazi wake. UKAWA watagawana jamvi kwa kuwa matumaini ya ushindi hakuna. Walitegemea CCM isimamishe mgombea dhaifu ili washinde na kugawana madaraka, sasa chances za kugawana madaraka hakuna hivyo wataangalia Ruzuku kwa kusimamisha mgombea kila chama. Tupo hapa na time is about to tell all.
Mkuu Kimbunga.

Watu wanapenda sana kujipa matumaini na kujifariji wanasahau kuwa Dr.Magufuli ndiyo waziri peke wa JK ambaye kaonyesha kweli ni mtendaji.

Bahati nzuri Dr anaijua Tanzania vizuri hamna kijiji asichokijua.
 
Last edited by a moderator:
Huu ni umalaya wa kisiasa. Huna msimamo. Hajui ushike lipi uache lipi. Hivi Kwanini lakini??

aina hiyo ya watu wapo wengii, sometime naskia kulia,wanatucheleweshea mabadiliko.
 
Kiukweli aisee CCM hapo wamewabana UKAWA kwenye kona hawafurukuti!
UKAWA sasa kazi kwenu. The race is not over yet! Tafuteni kuongeza idadi ya wabunge mjengoni!
 
CCM hata wangemsimamisha Mzee Majuto bado wangeshinda tu achilia mbali Dr.Magufuli.

Unawaongelea UKAWA wenyewe kwa wenyewe hawapatani kila mmoja anataka kuwa mgombea.

Unadhani CUF na NCCR Mageuzi watakubali kuburuzwa na Chadema wabunge wengi watoke Chadema na bado wapewe mgombea urais.

Hayo Ni mawazo yako mgando, na tumbo lako liliojaa rushwa
 
Mkuu Kimbunga.

Watu wanapenda sana kujipa matumaini na kujifariji wanasahau kuwa Dr.Magufuli ndiyo waziri peke wa JK ambaye kaonyesha kweli ni mtendaji.

Bahati nzuri Dr anaijua Tanzania vizuri hamna kijiji asichokijua.

huwezi kutudanganya kwa chochote, mdanyanye mjinga asiyejua hii nchi inakwendaje na makofili ni nani??? na ccm ni nani??? Wote mnajuana na kulindana hamna uchungu na binadamu wenzenu wa taifa Hili. Ningeona ccm ni bora kama watuhumiwa wote wa EPA, ESCROW na DOWANS wangeshughulikwa na mngemrejesha bilali apelekwe mahakamani ILA mnalindana na wananchi wenu tukipata tabu sababu yenu, nani asiyemjua makofili ni mwizi mwingine mzuri na yeye?? Ccm inanuka
 
Last edited by a moderator:
ndotoza mchana !! kama CCM wangekosea na kuweka vibaka ama wengine sawa. Lakini kwa MWALIMU WA KEMIA hakuna silaa wala slaa wala salaaaa, watanzania wanamjua magufuli !! tena kwa positive !![/QUOTE
1. Makofili Ni mwizi
2.dictator
3. Mtu kwenye majivuno
4.malaya, anaiba anajengea malaya
5. Anadharau wananchi. Nyingine ongezea Nina imani unajua na unazo ILA unataka ukweli uwe huongo
 
eee bhana mkuu naomba kujua wasifu wa huyo peter magoli mtaalam wa mipira iliyokufa .
 
Tunamtaka Balali sasa wakati ndio umefika Lowasa atekeleze hili haraka na mapema mwezi huu huu,zege hailali.
 
ndotoza mchana !! kama CCM wangekosea na kuweka vibaka ama wengine sawa. Lakini kwa MWALIMU WA KEMIA hakuna silaa wala slaa wala salaaaa, watanzania wanamjua magufuli !! tena kwa positive !!

Mkuu tupo pamoja, ila nakuhakikishia kuwa Mugufuli hataweza kuwa kama alivyokua hapo awali! Take it from me!
 
Back
Top Bottom