Namna gani hapa UKAWA wanapata penati!

Namna gani hapa UKAWA wanapata penati!

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,001
Reaction score
134,196
Hakika timu ya Lumumba FC imenishindwa kabisa kucheza kwa maelewano. Inasemekana kocha na bench lake amepanga timu anavyojua yeye kiasi cha wataalam wengine wa bench la ufundi kuzira.

Kuna straika anaitwa Edo Boy anacheza rafu sana huyu sasa kocha kampiga pini yuko bench. Imeleta tafrani sana.

Pale safu ya ulinzi Lumumba FC ni dhaifu sana, hawajiamini kabisa ndugu msikilizaji....Inapigwa cross fupi toka winga ya kulia, inatokea piga nikupige langoni mwa Lumumba FC.

Penaaaat....namna gani hapa UKAWA wanapata penati, namuona mpigaji makini wa mipira hii Peter "Magoli" akijiandaa.

Hali ni mbaya kwa Lumumba FC wanalalamikiana hapa na kurushiana matusi makali,jukwaa la Lumumba wanapiga makofi na kuimba Edo,...Edo....Edo...kocha anakosa la kufanya!
 
CCM wameshamaliza shughuli yao na kutokubaliana hakuna nguvu tena. Walioshindwa wamekubari matokeo.

Shughuli iko kwa UKAWA ambao wameshindwa kufukia makubaliano ya nani awakilishe umoja huo kwenye mbio za urais
 
Hakika timu ya Lumumba FC imenishindwa kabisa kucheza kwa maelewano.Inasemekana kocha na bench lake amepanga timu anavyojua yeye kiasi cha wataalam wengine wa bench la ufundi kuzira.Kuna straika anaitwa Edo Boy anacheza rafu sana huyu sasa kocha kampiga pini yuko bench.Imeleta tafrani sana......Pale safu ya ulinzi Lumumba FC ni dhaifu sana,hawajiamini kabisa ndugu msikilizaji....Inapigwa cross fupi toka winga ya kulia,inatokea piga nikupige langoni mwa Lumumba FC....Penaaaat....namna gani hapa UKAWA wanapata penati,namuona mpigaji makini wa mipira hii Peter "Magoli" akijiandaa...Hali ni mbaya kwa Lumumba FC wanalalamikiana hapa na kurushiana matusi makali,jukwaa la Lumumba wanapiga makofi na kuimba Edo,...Edo....Edo...kocha anakosa la kufanya!

acheni upuuuz bhana huyo arafata hizo hizo sheria za kutetea chama 2 acheni kuvuliwa nguo kizembe uzuri hapa nikutafuta mabadiliko kwingine hayo ni yaleyale na watarudi walewale unafikili watakua kinanani wapya ambao ni wazuri badilikeni bhana nyieee
 
Tayari UKAWA wamempata mgombea wao na wamepanga kumtambulisha tarehe 14
CCM wameshamaliza shughuli yao na kutokubaliana hakuna nguvu tena. Walioshindwa wamekubari matokeo.

Shughuli iko kwa UKAWA ambao wameshindwa kufukia makubaliano ya nani awakilishe umoja huo kwenye mbio za urais
 
Huna kazi ya kufanya wewe. ...ndo maana unaandika ujinga hapa....mwambieni boss wenu mbowe awape ajira.
 
Tayari UKAWA wamempata mgombea wao na wamepanga kumtambulisha tarehe 14

Sijui kama ni kweli amepatikana. Kwa tetesi zilizopo ni kwamba kilichowafanya waipeleke mbele tarehe ya kumtangaza mgombea wao ni kutokana na kutokubaliana nani awakilishe UKAWA. Walichofikia muafaka ni mgawanyo wa majimbo.

Hii issue ya Urais lazima UKAWA waiangalie kwa macho manne lisiwagawe na kuwavuruga. CCM wakimtangaza Mgombea wao saa nne wanaanza kuandaa mapandikizi ya kuja kuwavuruga tarehe 14. Kumbukeni hela ni tamu.
 
alaaniwe amtegemeaye binadamu kama we we..kumbe utumwa bado upo!
 
acheni upuuuz bhana huyo arafata hizo hizo sheria za kutetea chama 2 acheni kuvuliwa nguo kizembe uzuri hapa nikutafuta mabadiliko kwingine hayo ni yaleyale na watarudi walewale unafikili watakua kinanani wapya ambao ni wazuri badilikeni bhana nyieee

Watu wamebadilishwa ghafla na maigizo ya siku mbili hizi...kama waliweza chakachuana mwenyewe huko ndani..itakuwaje kwenye uchaguzi mkuu...? Mwaka huu lazima tuimarishe ulinzi...hakiibiwi kitu....
Magufuli Hana jipya la kufanya ndani ya ccm maana imeshakula corrupt
 
Tayari UKAWA wamempata mgombea wao na wamepanga kumtambulisha tarehe 14
Wamepata wapi mtaje basi hivi unajua maana ya kusema tayari wamempata mgombea wao?
 
CCM wameshamaliza shughuli yao na kutokubaliana hakuna nguvu tena. Walioshindwa wamekubari matokeo.

Shughuli iko kwa UKAWA ambao wameshindwa kufukia makubaliano ya nani awakilishe umoja huo kwenye mbio za urais

Wewe ni mtanzania wa nchi gani husiye jua nini kinaendelea ndani ya nchi yako,husomi kujua nini kinaendelea?
 
Watu wamebadilishwa ghafla na maigizo ya siku mbili hizi...kama waliweza chakachuana mwenyewe huko ndani..itakuwaje kwenye uchaguzi mkuu...? Mwaka huu lazima tuimarishe ulinzi...hakiibiwi kitu....
Magufuli Hana jipya la kufanya ndani ya ccm maana imeshakula corrupt

Kweli kabisa mkuu hizo ni ngonjera za majukwaani ccm itabakia kuwa chama cha rushwa tu
 
Hakika timu ya Lumumba FC imenishindwa kabisa kucheza kwa maelewano.Inasemekana kocha na bench lake amepanga timu anavyojua yeye kiasi cha wataalam wengine wa bench la ufundi kuzira.Kuna straika anaitwa Edo Boy anacheza rafu sana huyu sasa kocha kampiga pini yuko bench.Imeleta tafrani sana......Pale safu ya ulinzi Lumumba FC ni dhaifu sana,hawajiamini kabisa ndugu msikilizaji....Inapigwa cross fupi toka winga ya kulia,inatokea piga nikupige langoni mwa Lumumba FC....Penaaaat....namna gani hapa UKAWA wanapata penati,namuona mpigaji makini wa mipira hii Peter "Magoli" akijiandaa...Hali ni mbaya kwa Lumumba FC wanalalamikiana hapa na kurushiana matusi makali,jukwaa la Lumumba wanapiga makofi na kuimba Edo,...Edo....Edo...kocha anakosa la kufanya!
Naona umepagawa sasa umeamua kuwa mtangazaji mpira...Daah ngoja nikuambie kitu CCM hata wampitishe Mzee Majuto bado atamuacha mbali Dr.Slaa na UKAWA yenu achilia mbali Dr.Magufuli jembe.
 
Hata mwaka 2005 watanzania walijazwa na matumaini kibao juu ya huyu fast jet...cheki alipotufikisha...nchi haina mbele wala nyuma uchumi wa mtu mmoja mmoja umeporomoka....
Mtu anayeishabikia ccm si bure ana matatizo ya akili...wakapimweeee...
 
Sijui kama ni kweli amepatikana. Kwa tetesi zilizopo ni kwamba kilichowafanya waipeleke mbele tarehe ya kumtangaza mgombea wao ni kutokana na kutokubaliana nani awakilishe UKAWA. Walichofikia muafaka ni mgawanyo wa majimbo.

Hii issue ya Urais lazima UKAWA waiangalie kwa macho manne lisiwagawe na kuwavuruga. CCM wakimtangaza Mgombea wao saa nne wanaanza kuandaa mapandikizi ya kuja kuwavuruga tarehe 14. Kumbukeni hela ni tamu.

Wewe ni pandikizi moja wapo la ccm kutaka kutuvuruga watanzania,kwa taarifa yako ni kuwa mgombea wa ukawa ashapatikana tangu jana saa 9 mchana,kwa wenye kujua wana mjua.wakati wewe unapuliza vuvuzela lako hapa jamvini watu wenye uelewa na uchungu wa maisha tushajua ni nani mbeba bendera ya ukawa tayari.
 
Wewe ni mtanzania wa nchi gani husiye jua nini kinaendelea ndani ya nchi yako,husomi kujua nini kinaendelea?

Nasoma ndio maana siongezi "h" panapotakiwa paanze na "u" ili nielewe. Rafudhi hadi kwenye vidole? Hili neno "husiye" lina maana gani kwa wewe msomi?
 
Naona umepagawa sasa umeamua kuwa mtangazaji mpira...Daah ngoja nikuambie kitu CCM hata wampitishe Mzee Majuto bado atamuacha mbali Dr.Slaa na UKAWA yenu achilia mbali Dr.Magufuli jembe.

Endelea kuroroja mkuu,ukawa mwaka huu ndiyo kila kitu,huyo magufuri mikashfa imemjalia kibao ya mabilioni ya ujenzi,wacha kazi ianze 10% zote za mikataba zitawekwa bayana kwani kaamua mwenywe kuingia chaka
 
Nasoma ndio maana siongezi "h" panapotakiwa paanze na "u" ili nielewe. Rafudhi hadi kwenye vidole? Hili neno "husiye" lina maana gani kwa wewe msomi?

Huna ujualo baki hukohuko ndani ya pipa
 
Back
Top Bottom