Namna ‘connection’ ya Uwoya ilivyovuja!

Namna ‘connection’ ya Uwoya ilivyovuja!

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,409
Reaction score
82,301
IMG_7395.jpeg
Kwa miaka mingi ulikuwepo uvumi usiokoma wa uwepo wa video za utupu za muigizaji na aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania (namba 5) mwaka 2006 Irene Pangras Uwoya.

Uvumi huo hatimaye ulifikia kikomo na kugeuka uhalisia miaka mitatu iliyopita zilipovuja picha za utupu zilizoleta ‘gharika’ mitandaoni huku zikiibua mijadala ya kila namna.

Uwoya alitaka kufuta tattoo…
Irene ambaye hivi sasa amemrudia Mungu akihudumu katika kanisa, alianza mapema kuyakataa mambo ya ‘kidunia’ ambapo aliazimia kufuta tattoo alizokuwa amejichora sehemu mbalimbali katika mwili wake.

Ndipo akaunganishwa na kijana ambaye alikuwa hodari katika kazi hiyo ya kuondosha michoro mwilini. Wakafanya makubaliano kisha Irene akapewa ‘huduma’ ya kufuta tattoo.

Kijana alimfanyia uhuni Uwoya!
Katika kilichoonekana kama mchakato wa kufuta tattoo, Irene alipatiwa dawa ya usingizi ili kupunguza maumivu yatokanayo na uondoshwaji huo wa tattoo mwilini.

Irene alipopotelea usingizini ndipo kijana akawakwa tamaa ya pesa na kimwili. Fikra za Irene Uwoya kuwa mtupu mbele yake huku akiwa hajitambui zilimtoa fahamu kijana, ndipo akamuingilia pasi na idhini yake Irene ikiwa ni pamoja na kumpiga picha nyingi pamoja na video.

Baba Uwoya ‘Mafia’, aingia mzigoni!
Mnawasikiaga wale wazee wa vitengo? Ndio baba yake Uwoya sasa. Ni mtu mzito haswa na pesa ipo ndefu.

Video zilipovuja mzee Pangras aliwaita vijana wake akawapa agizo la kumleta mbele yake kijana mfuta tattoo upesi akiwa mzima.

Vijana walitii agizo la mkuu wao na ndani ya muda mfupi kijana mfuta tattoo alitiwa nguvuni na kupelekwa mbele ya mzee Uwoya mwenyewe.

Hadi hii leo sio mimi wala chanzo changu tunaojua yalimkuta yepi kijana mfuta tattoo mikononi mwa mzee wa kitengo, alivuna alichopanda.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
 
Haya sasa, thread mliyoiomba sana hadi mmenifuata PM nimewawekea.

Chagueni niwaandikie nini baada ya hii next week…

1. Zaylissa mapepe, Manara alikuwa anachapiwa na huyo bwana yake wa kudumu ni star mkubwa tu.

2. ‘King’ wa usagaji bongo movie na list ya wote aliowasaga akiwemo na ‘mkewe’ wa kudumu.
 
View attachment 3388536Kwa miaka mingi ulikuwepo uvumi usiokoma wa uwepo wa video za utupu za muigizaji na aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania (namba 5) mwaka 2006 Irene Pangras Uwoya.

Uvumi huo hatimaye ulifikia kikomo na kugeuka uhalisia miaka mitatu iliyopita zilipovuja picha za utupu zilizoleta ‘gharika’ mitandaoni huku zikiibua mijadala ya kila namna.

Uwoya alitaka kufuta tattoo…
Irene ambaye hivi sasa amemrudia Mungu akihudumu katika kanisa, alianza mapema kuyakataa mambo ya ‘kidunia’ ambapo aliazimia kufuta tattoo alizokuwa amejichora sehemu mbalimbali katika mwili wake.

Ndipo akaunganishwa na kijana ambaye alikuwa hodari katika kazi hiyo ya kuondosha michoro mwilini. Wakafanya makubaliano kisha Irene akapewa ‘huduma’ ya kufuta tattoo.

Kijana alimfanyia uhuni Uwoya!
Katika kilichoonekana kama mchakato wa kufuta tattoo, Irene alipatiwa dawa ya usingizi ili kupunguza maumivu yatokanayo na uondoshwaji huo wa tattoo mwilini.

Irene alipopotelea usingizini ndipo kijana akawakwa tamaa ya pesa na kimwili. Fikra za Irene Uwoya kuwa mtupu mbele yake huku akiwa hajitambui zilimtoa fahamu kijana, ndipo akamuingilia pasi na idhini yake Irene ikiwa ni pamoja na kumpiga picha nyingi pamoja na video.

Baba Uwoya ‘Mafia’, aingia mzigoni!
Mnawasikiaga wale wazee wa vitengo? Ndio baba yake Uwoya sasa. Ni mtu mzito haswa na pesa ipo ndefu.

Video zilipovuja mzee Pangras aliwaita vijana wake akawapa agizo la kumleta mbele yake kijana mfuta tattoo upesi akiwa mzima.

Vijana walitii agizo la mkuu wao na ndani ya muda mfupi kijana mfuta tattoo alitiwa nguvuni na kupelekwa mbele ya mzee Uwoya mwenyewe.

Hadi hii leo sio mimi wala chanzo changu tunaojua yalimkuta yepi kijana mfuta tattoo mikononi mwa mzee wa kitengo, alivuna alichopanda.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Kifuatacho ni kupakwa futa, hii ndio namna ya kumfunga mdomo mhuni.
 
Back
Top Bottom