Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kajiunga jana halafu anasema amekuwa akifuatilia mijadala kwa muda sasa,ameona na yeye achangie!Mbona umeandika pumba tupu
Kwa kudanganya tu huko kunapoteza uhalisia katika hoja zake!
Kajiunga jana halafu anasema amekuwa akifuatilia mijadala kwa muda sasa,ameona na yeye achangie!Mbona umeandika pumba tupu
Kama chadema inakufa kwanini wanazuia mikutano ya kisiasa, viongoz wa chadema kubambikiziwa kesi, kamatakamata ya viongozi wa chadema,? Ndugu hii inaonesha dhahiri kuwa chadema ni tishio kwa watawala wa ccm.Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali humu. Nimeona mijadala mingi ikiendelea. Kusema kweli mingi inajenga.
Sasa basi kwa leo ninaomba nami niweze kuchangia. Leo ninaomba kuchangia jambo la kuhusu namna ya CHADEMA inavyokufa.
A. KUKOSEKANA KWA SERA
Uhai wa chama ni kuwa na sera. Chama cha siasa kikikosa sera kinakuwa hakijui kinatakiwa kufanya nini. Kwa bahati mbaya kabisa CHADEMA imekuwepo na kuendesha siasa zisizo na sera. Na mwisho wa siku kimekuwa kikijikita kwenye matukio ya muda na yanayopita.
B. KUKOSEKANA KWA ITIKADI
Itikadi ndiyo moyo wa chama. Yaani chama lazima kiwe na itikadi. Hii ndiyo imani ya chama. Bahati mbaya CHADEMA kimekuwa kikiongozwa na misemo tu. Mf: UKAWA, OPERATION SANGARA, UKUTA, KATAFUNUA nk. Hii inafanya chama kionekane cha kihuni. Chama kinakuwa hakina future.
C. KUSHINDWA KUTATUA MATATIZO YA NDANI.
Chadema kimeshindwa kutatua matatizo yake ya ndani. Kimekuwa kikiongozwa kwa mfumo wa kidikteta. Ni mtu mmoja tu ndiye anakuwa na nguvu. Ukimkosea ubafukuzwa chama. Yeye ndiye A to Z.
D. KUSHINDWA KUBADILIKA KULINGANA NA WAKATI
Hiki chama kimedumaa hakiwezi kwenda na wakati. Kimebaki kwenye siasa za matukio, kejeli na matusi. Hii siyo afya kwa chama. Kinatakiwa kiseme seta zake kuliko kuegemea siasa dhaifu.
Mwisho kabisa kifo cha CHADEMA ni natural death. Kitapotea na hatutakikumbuka tena.
😂😂😂😂kwasababu nafuga kuku.
Mbona ccm ilikufa kitambo? Kwa sasa inapumua tu kupitia Nec na policcmKifo huwa kinaanza na dalili. Kwanza kudhoofika, kukosa direction hatimaye kufa.
Mimi sikuwa na wewe Kanada wala sikujua kuwa ulikuwa huko, ila kutokana na kilichofanyika Chadema hivi karibuni nilipata picha kuwa wewe ni mgeni wetu Bongo ndiyo sababu nilikushauri ufike ofisini kwao licha ya kuwa hutaki kwa sababu unaijua Chadema kuliko wenye chama! That's what you learned in Canada! Welcome home, you are great.Asante sana kuwa kwangu Canada hakunifanyi nisiijue nchi yangu. Chadema naijua zaidi uijuavyo.
Kifo huwa kinaanza na dalili. Kwanza kudhoofika, kukosa direction hatimaye kufa.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali humu. Nimeona mijadala mingi ikiendelea. Kusema kweli mingi inajenga.
Sasa basi kwa leo ninaomba nami niweze kuchangia. Leo ninaomba kuchangia jambo la kuhusu namna ya CHADEMA inavyokufa.
A. KUKOSEKANA KWA SERA
Uhai wa chama ni kuwa na sera. Chama cha siasa kikikosa sera kinakuwa hakijui kinatakiwa kufanya nini. Kwa bahati mbaya kabisa CHADEMA imekuwepo na kuendesha siasa zisizo na sera. Na mwisho wa siku kimekuwa kikijikita kwenye matukio ya muda na yanayopita.
B. KUKOSEKANA KWA ITIKADI
Itikadi ndiyo moyo wa chama. Yaani chama lazima kiwe na itikadi. Hii ndiyo imani ya chama. Bahati mbaya CHADEMA kimekuwa kikiongozwa na misemo tu. Mf: UKAWA, OPERATION SANGARA, UKUTA, KATAFUNUA nk. Hii inafanya chama kionekane cha kihuni. Chama kinakuwa hakina future.
C. KUSHINDWA KUTATUA MATATIZO YA NDANI.
Chadema kimeshindwa kutatua matatizo yake ya ndani. Kimekuwa kikiongozwa kwa mfumo wa kidikteta. Ni mtu mmoja tu ndiye anakuwa na nguvu. Ukimkosea ubafukuzwa chama. Yeye ndiye A to Z.
D. KUSHINDWA KUBADILIKA KULINGANA NA WAKATI
Hiki chama kimedumaa hakiwezi kwenda na wakati. Kimebaki kwenye siasa za matukio, kejeli na matusi. Hii siyo afya kwa chama. Kinatakiwa kiseme seta zake kuliko kuegemea siasa dhaifu.
Mwisho kabisa kifo cha CHADEMA ni natural death. Kitapotea na hatutakikumbuka tena.
Tangu 2005 nazisikia hizi habari za kifo cha CDM
CCM ilishakufa siku nyingi. Udikteta unaweza kujivika chama chochote. CCM haiongozi nchi bali dikteta John Pombe Magufuli. Kama ilivyo kwa Rwanda na Paul Kagame anavyojificha kwenye chama chake na kuitisha chaguzi feki.na kifo cha CCM umeanza kusikia kuanzia lini??
Mna mawazo ya kipuuzi kweli. Hivi kesi ya kina Mbowe, unaifahamu ilitokana na nini?Halafu kimekosa ujasiri na uthubutu... kila mtu pale ufipa ni mwoga, unakumbuka amsha amsha za dogiTA SilaHA Enzi hizo?
CCM ilishakufa siku nyingi. Udikteta unaweza kujivika chama chochote. CCM haiongozi nchi bali dikteta John Pombe Magufuli. Kama ilivyo kwa Rwanda na Paul Kagame anavyojificha kwenye chama chake na kuitisha chaguzi feki.
Hata akina Sadam Hussein na Gadafi walikuwa na vyama walivyovitumia kujificha kutawala kidikteta.
CCM ilishakufa toka 1995 ..Mrema na Maalim Seif walivyowachezesha shikorobo...Mnajivuna kwa kuwa na polisi vilaza wanaofanya kazi zisizowahusu...bila hivyo R.I.P kama KANUna kifo cha CCM umeanza kusikia kuanzia lini??
Labda marehemu kafufuka na amegeuka jini sasa wanataka kumuua tena na hawawezi 😂😂😂Tangu 2005 nazisikia hizi habari za kifo cha CDM