KISAKA MORIS
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 372
- 33
Nakulilia Bob Nyanga Makani! Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani!
Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
TANZANIA KWANZA, UZALENDO KWANZA!
Nape Moses Nnauye
Chama Cha Mapinduzi
Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa
Huu ni (unaa) yaani unafiki wa hali ya juu. Majungu yako hayatatusababisha tuichukie CHADEMA zaidi ya hicho chama chako cha Magamba na ufisadi. KARIBU CDM chama kitakachokuongoza baada ya miaka mitatu ijayo.