Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
Nape jifunze ustaarabu..........huwezi kujifanya kumsifia marehemu huku unakiponda chama chake at the same time.
This is typical immature behaviour and cant be tolerated.
Wewe ni nani uyajuaye ya ndani ya CHADEMA kuliko wenyewe wanaCHADEMA? Stop this nonsense utterances!!!
GROW UP or SHUT UP.
Kwa mila zetu huwa tunasubiri kwanza mtu alazwe kwenye nyumba yake ya milele, then ndiyo spin zinaanza. Kwa wakati huu ilitakiwa ama kukaa kimya ama kuifariji familia ya marehemu. ukiingiza siasa kwenye hili basi usijisikie vibaya pale utakapoitwa mchawi, maana kwako wewe kifo hiki kimekupatia opportunity ya kuingiza agenda yako (siasa) (Umefurahia kifo, badala ya kulia).
Actually I was pleased with your first line but get off after the highlighted. Hii ni opportunity ya Bob Nyanga Makani si opportunity yako wewe Nape. Mwanadamu ana siku muhimu kabisa mbili nyingine ni ziada tu:
1. Siku ya kuzaliwa: watu husherehekea na kusifia kuwa amepatikana 'dume' au 'mwanamke wa shoka' na kuona future iliyojaa mwangaza na nuru ya upendo. Siku hii hupita na mengi katikati hufuatia
2. Siku ya kufa: Hii ni siku ambayo mbali tu huacha majonzi bali hutumiwa ku-reflect positively yale ambayo marehemu amayaacha nyuma yake huku tukimuombea 'maghafila' - amani na utulivu huko aendako ambako nobody knows what it looks like. Ni siku ya kumuenzi marehemu na kumuombea kila jema na pia ni siku ya kuwaunganisha wale wote walioguswa moja kwa moja na kifo chake si siku ya kuwagawa.
Nape kwa thread yako hii ambayo inagawa hujaitendea mema siku ya Bob Nyanga Makani. Ume-spoil siku yake na hii inaonesha wazi kuwa hujaguswa na msiba huu maana ungeguswa ungekuwa ni miongoni mwa walioungana si kutaka kutugawa. Bon Nyanga mbali tu ya kuwa ni muasisi wa chama cha siasa lakini amewahi litumikia taifa hili katika ngazi kubwa kwa uadilifu mkubwa sana kitu ambacho watumishi wengi wa level yake leo hii wanakikosa. Huo ulitakiwa kuwa ni ujumbe wako.
RIP Bob Makani, sisi wote ni waja wa mwenyezimungu na marejeo kwake ni wajibu.
!!!!!!!!!!!!!!!!KWAHERI BOB NYANGA MAKANI!!!!!!!!!!!!!!!!
Nakulilia Bob Nyanga Makani! Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani!
Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
TANZANIA KWANZA, UZALENDO KWANZA!
Nape Moses Nnauye
Chama Cha Mapinduzi
Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa
haki kweli wewe utakuwa mgonjwa wa akili kweli kabisa.....kwanza nilipoona jina la thread nilitegemea nitakuta tahariri yenye akili kumbe huu upupuu......Nakulilia Bob Nyanga Makani! Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani!
Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
TANZANIA KWANZA, UZALENDO KWANZA!
Nape Moses Nnauye
Chama Cha Mapinduzi
Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa