ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,367
- 118,752
nasisitiza tena na tena usithubutu.. too much wivu ktk mapenzi haufai kabsaaa unakukosesha hata amani yani kila utakachofanya atahis unamcheat... mimi kuna siku nlienda kununua ndizi za kuchoma na kitimoto( sory kama we ni muislam) bar akapiga simu kulikua na mziki mkubwaa + makelele ya walevi weeeh hapakutosha asee ilikua vurumai et..ila mi nachomkumbukia ni mipesa yake tu...
..kimbembe sasa upate asiye na hela..lol..
wanawake mda shida Sana..