Namkumbuka lakini simtamani

Namkumbuka lakini simtamani

Achana nae tu my dia labda una joto unahitaji mtu akuliwaze na ndio maana unamkumbuka...
 
Nimependa facial expression ya avatar yako ingawa ni mtoto...ni body language ya how u feel bout him

Ha ha ha haaa.. leme u make me smile atiii
 
Achana nae tu my dia labda una joto unahitaji mtu akuliwaze na ndio maana unamkumbuka...

Usjaleee doct ninae kuamnia..nna mtu anane npa joto..hayo n mawazo ya muda tu yaan n dak 1 kat ya 5
 
Yuko mbali ndo maana unasema haumuhitaji tena... kumuwaza kwa mambo ya faragha na yeye ni kuonyesha ume miss sana... angekuwa yuko karibu mbona tayari mshasameheana...
 
Itakuwa huyo unayempa sasa hakupg du.du vzr
 
Usjaleee doct ninae kuamnia..nna mtu anane npa joto..hayo n mawazo ya muda tu yaan n dak 1 kat ya 5

umeshategua mtego kumbe lama yuko right huyo uliyenae ndo umemuona mali kuliko yule wa zamani ssa unakuja na visingizio kibao lakini kumbuka usiache mbachao kwa msala upitao !!
 
yuko mbali ndo maana unasema haumuhitaji tena... kumuwaza kwa mambo ya faragha na yy ni kuonyesha ume miss sana... angekuwa yuko karibu mbona tayari mshasameheana...

Aaagh wapi weuwee. .it cant be buanaa
 
umeshategua mtego kumbe lama yuko right huyo uliyenae ndo umemuona mali kuliko yule wa zamani ssa unakuja na visingizio kibao lakini kumbuka usiache mbachao kwa msala upitao !!

Nmempata huyu nlie nae baada ya kuachana na huyo buana cha wivu.tena miez kama minne mbele ndo nkampata huyu nlie nae sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom