Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
- Thread starter
- #41
heee mimi avatar yake tuuu na jina kan'tangaze
Hata mie avatar yako na jna tu...ha ha ha ah.. Cc:ichana
Last edited by a moderator:
heee mimi avatar yake tuuu na jina kan'tangaze
Hapana siwez kurud kwake tena...I thougth hata yey kagv upo ktambo upon m..penz llshakufa
and dont dare to even think of going back to him,? sikushauri kabsaaaa mi mwenyew nlikua naye wa hivohivo but as days goes nlimsahau tu...be strong enough just my dear utamsahau tu,...
Thanks. .naufanyia kaz ushaur wako uzd kunpa nguvu coz sfkirii kabsaaaa kurud kwake
Hivi ndo umesema upo Chuo(elimu ya juu)?just a memories
Hapana bwanaaa
nasisitiza tena na tena usithubutu.. too much wivu ktk mapenzi haufai kabsaaa unakukosesha hata amani yani kila utakachofanya atahis unamcheat... mimi kuna siku nlienda kununua ndizi za kuchoma na kitimoto( sory kama we ni muislam) bar akapiga simu kulikua na mziki mkubwaa + makelele ya walevi weeeh hapakutosha asee ilikua vurumai et..ila mi nachomkumbukia ni mipesa yake tu...