tene namwomba butiku asisahau kuzungumzia,mchango wa kikwete kukwamisha ujenzi wa taasisi ya mwl nyerere ili umma ufahamu kiundaniila hao watoa mada ulimwengu ,butiku si patachimbika apo jamani
mkuu jeykey akikanyaga udsm si unajua wanafunzi tuna aleg na thithiem tutampiga mawe bureee,na hata ukumwalika anaogopa kuja maana anaelewa wasomi hatumtaki,tutaitisha revo square tuanze kumwimbia solidarity forever
Umenikumbusha kitu. Kuna mwanafunzi wa UDSM jirani yangu alikuwa anaimba mara kwa mara maneno hayo. Nilidhani ameyatohoa tu kichwani mwake. Kumbe yatokea huko Mlimani!