- Thread starter
- #21
Nimepita mtaani hapa
Yaani umepungukiwa sifa kihivyo, hadi ususie thread yangu! Pole
Nimepita mtaani hapa
mnh wanaume picky kama huyu wanakuwaga na gubu sana,umejitokea zako mbali huko umechoka,unalikuta limenuna tu bila sababu....:thinking::bump::hand:ray::A S 13:
Neema unaonekana kuchukizwa na kuniona mie picky, na wakati nilizoweka ni sifa tu za kawaida. Je ningesema awe na bikira si ungeandamana!
walaaaa,ningekuambia tu vizuri umba wako,custom made...nataka **** liwe hivi,shingo iwe vile ni watu wanaojiona ni bora zaidi ya wengine,:thinking:
Wewe KOKUTONA, sifa nitaweka iwapo kuna interested member anayemeet criteria zangu. Isitoshe muhimu nimeshazitaja
Kweli complicated!!Mie namba 9 out, namba 1 issue iko kwenye nywele , 0 sipendi umbea kabisaa!!!
kuna yupo kitaa hapa nahis atakufaa naomba nikuunganishie mkuu ana vigezo karibia vyote.
walaaaa,ningekuambia tu vizuri umba wako,custom made...nataka **** liwe hivi,shingo iwe vile ni watu wanaojiona ni bora zaidi ya wengine,:thinking:
Mimi nina nini?Hata wewe MadameX!
u have made my morning! kazi ipo mwaka huu, lol.Kweli kabisa...inabidi atafute atleat watano ili wakiungana sifa zitimie...
u have made my morning! kazi ipo mwaka huu, lol.
Tusichukulie hili swala kibinadamu tu,wewe unataka kupata rafiki mwenye sifa hizo je mwenzako atavutiwa na nini kwako bila wewe pia kutabanaisha? Na pia katika kutafuta mpenzi usitumie akili yako,mshirikishe aliyekuumba kwani kwa wakristu tunasema mke mwema hutoka kwa bwana si kwa mawazo yako binafsi, mwombe mungu wako akufunulie, na imani muda ukifika utampata na anaweza asiwe mwenye hivyo vigezo ulivyovitaja.
u have made my morning! kazi ipo mwaka huu, lol.
Mimi nina nini?
Ni hilo la umbea, jitaarishe kupigiwa mziki kila siku maana siku hizi tunawasuta kwa matarumbeta!