joe peters
Member
- Dec 16, 2010
- 85
- 18
ushindi wake ulikuwa halali au alichakachua?
:
Mwancheni mwaya, hata mimi namfagilia maana anamiliki gari aina ya X5 alilopewa na mafisadi kwa sababu ya ku-facilitate kuingiza vi mem:hungry vyao mezani kwa mkulu.
hivi watu kwa nini mna hasira hivyo? too emotional! kumbukeni hili ni jukwaa la great thinkers na sio jukwaa la watu wenye jazba za kinanihii.....
punguzeni jazba, toeni hoja.....vinginevyo hatutafika tunakokwenda.
endelea kumfagilia kwa kuwa ana website mmwombe kabisa akubusu na kukuchum.
Unebania bana....