mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Line kama kawaida huku tukiwa na support ya Abidal na kocha wetu akiwa uwanjani TITO Vilanova wote wakiwa wametoka ku recover cancer
Inajulikanaga kama kawaida tUkiwa uwanja wa nyumbani huwa tunaongeza concentration ya mechi,huku tukiwa wakali kama Andres Ineista alivyoahidi tu tunacheza zaidi ya fainali,Mtaalamu messi(the marvolous) akitoka ku recover injury ambayo ilimfanya akose mechi na mallorca last week ambayo tulipiga goli 5-0!!
Utaona kwamba mechi ya leo ni kama tu kumsukuma mlevi vile,cesc Fabrigas(alipiga hat trick mechi na mallorca) ataanza na David villa+alex sunchez
Marcherano na abidal +Gerald Pique bila kumsahau mkali anayepanda na kushuka mbrazil lakin ana nembo ya Mpareguana Dan Alves kama kawa atasapoti ku defence na ku-attack yaani UHONDO tu sipati picha
Kama kawa Xavi atakuwa na shughuli ya kuuthibitishia ulimwengu kama yeye ni best finisher !!!
Yani nahisi nauona mpira unavyochezwa vile leo kiufupi my predictions tutashinda goli 4 kwa wafaransa hao wa PSG,sina wasiwasi hata kidogo na timu yangu yani ni ushindi mtupu my colleague fans
Najua wahabiki wa Madrd na wengineo wasiotupenda mnatuombea dua baya lakin not for barca!!Na historia ni ileile kuchukua La liga ambayo hadi sasa kishaeleweka waulize madrid na Tunaelekeza nguvu zetu now kuchukua UEFA hilo halina mpinzani hadi timu pinzani zote zinajua kuwa barcelona ndio timu ya century
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Inajulikanaga kama kawaida tUkiwa uwanja wa nyumbani huwa tunaongeza concentration ya mechi,huku tukiwa wakali kama Andres Ineista alivyoahidi tu tunacheza zaidi ya fainali,Mtaalamu messi(the marvolous) akitoka ku recover injury ambayo ilimfanya akose mechi na mallorca last week ambayo tulipiga goli 5-0!!
Utaona kwamba mechi ya leo ni kama tu kumsukuma mlevi vile,cesc Fabrigas(alipiga hat trick mechi na mallorca) ataanza na David villa+alex sunchez
Marcherano na abidal +Gerald Pique bila kumsahau mkali anayepanda na kushuka mbrazil lakin ana nembo ya Mpareguana Dan Alves kama kawa atasapoti ku defence na ku-attack yaani UHONDO tu sipati picha
Kama kawa Xavi atakuwa na shughuli ya kuuthibitishia ulimwengu kama yeye ni best finisher !!!
Yani nahisi nauona mpira unavyochezwa vile leo kiufupi my predictions tutashinda goli 4 kwa wafaransa hao wa PSG,sina wasiwasi hata kidogo na timu yangu yani ni ushindi mtupu my colleague fans
Najua wahabiki wa Madrd na wengineo wasiotupenda mnatuombea dua baya lakin not for barca!!Na historia ni ileile kuchukua La liga ambayo hadi sasa kishaeleweka waulize madrid na Tunaelekeza nguvu zetu now kuchukua UEFA hilo halina mpinzani hadi timu pinzani zote zinajua kuwa barcelona ndio timu ya century
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums