Name 1 reason for your "single status"

Xplorer

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
607
Reaction score
857
Watu wengi walio "single" kwa njia moja au nyingine wana matatizo lakini huwa ni vigumu kuukubali huu ukweli,inaweza kuwa ni uwezo mdogo kifedha,kushindwa kumpata mtu anayefikiri ni sahihi,au woga wa kuwa na mwenzi.

Tubadilishane uzoefu kidogo maana kila mtu amepitia hii hatua.
 
Single ya kibongo ni mtu ambaye hajaoa/olewa kisheria. Kuna watu wanaishi pamoja na wana watoto lakini wajiita "single". Tutendeane haki lwa wale walio kwenye mahusiano wanayoyajali
 
Ntakuwa napita pita kwenye huu uzi. Hii ni fursa
 
kama wewe mdada upo single ruksa kuja pm upate bahati iliyoje,vp miss chagga Honey Faith msipite hivi hivi bila kuniona
 
Last edited by a moderator:
Single ya kibongo ni mtu ambaye hajaoa/olewa kisheria. Kuna watu wanaishi pamoja na wana watoto lakini wajiita "single". Tutendeane haki lwa wale walio kwenye mahusiano wanayoyajali


Hasa wanaume loh!!
 

Attachments

  • 20141206_181651-BlendCollage.jpg
    95 KB · Views: 538
kukosa uvumilivu na subira kwa wavulana ndo kumechangia niwe cngle.
now nko radhi hata miaka kumi nimsubiri mwanaume atokee co mvulana..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…